Mbadala wa Adsense ni Zhakkas,Changamka watz

Mbadala wa Adsense ni Zhakkas,Changamka watz

Rutunga M

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2009
Posts
1,769
Reaction score
1,393
Kizuri kula na wenzako.

Kama mnavyojua hivi sasa matumizi ya Adsense network yamekuwa ya shida kwa publishers hasa walio na traffic ndogo sana katika site zao au blog zao.

Mitandao kama infolink,propeller na Adsttera ni lazima uwe na traffic kutoka nje ya Tz lakini huu Zhakkas unaruhusu viewers kutoka popote ikiwemo tz.

Kama una blog au site changamkia hiyo fursa.

Kujiunga ingia katika site yao hapa chini
https://www.zhakkas.com/?ref=mpya
 
unajua kama hio site ni scam? naona hapo unawatangazia tu wenzako na referal link yako. hutalipwa kitu bro
 
unajua kama hio site ni scam? naona hapo unawatangazia tu wenzako na referal link yako. hutalipwa kitu bro
naona kijana anataka 5% .. nimeshajaribu hii company ya wahindi na mpaka sasa account yangu ina dollar 18.. baada ya kuona negative comments kwenye social network nikaikimbia.. ni kweli yaweza kuwa scam, ila kila siku wananitumia messege zao but nimewaweka pending kwanza..
 
Kizuri kula na wenzako.

Kama mnavyojua hivi sasa matumizi ya Adsense network yamekuwa ya shida kwa publishers hasa walio na traffic ndogo sana katika site zao au blog zao.

Mitandao kama infolink,propeller na Adsttera ni lazima uwe na traffic kutoka nje ya Tz lakini huu Zhakkas unaruhusu viewers kutoka popote ikiwemo tz.

Kama una blog au site changamkia hiyo fursa.

Kujiunga ingia katika site yao hapa chini
https://www.zhakkas.com/?ref=mpya
kama wameshakulipa hata mara moja weka payment receipt hapa ili tuwe na uhakika
 
Back
Top Bottom