Kila ninachokipata kinapotea kwenye mazingira yasiyoeleweka, kichwa kikuu kimeshindwa kabisa kufanya maamuzi magumu ya kuzuia pesa isipotee.
Maendeleo yangu yamekuwa ni yakusua sua, wakati...
Kwa miaka mingi, jamii imekuwa ikitazama kufika kilele (orgasm) kama hatua ya mwisho na ushahidi wa mafanikio katika tendo la ndoa. Katika filamu, vitabu na hata mazungumzo ya kawaida, kilele...
Wakuu,
Jana Vodacom system ili crash mida ya jioni. Kuna transaction nilifanya mida hio. Sasa nikasubiri labda meseji itarudi hakuna meseji iliyorudi mpaka leo muda huu hakuna meseji hakuna...
Niliwahi kuwa na girlfriend back in 2018,
Alienielezea namna jamaa alivyokuwa anamchapa makofi na muda mwingine kumuingilia kinguvu kingono. Na akasema hataka amrudie tena huyo mbwa
Red flag...
Jaman za jioni?
Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....
Me bwana nikawa busy na...
Guys kuna raha kua Mwanamke na raha ya Mwanamke kuhudumiwa,
acheni sasa niwaambie mimi ni yule mwanamke hata nikipata mshahara sasa hivi, bado nitapiga simu kwa kaka zangu (wananipenda sana...
Hello wakuuu
Tupeane mbinu mnaishije na mwenza au mpenzi mwenye tabia ngumu ambapo unakuta io tabia inakukera au zinakukera sana na umejaribu kuongea nae mara kwa mara lakini haachi,,,na unakuta...
Salamu wakuu.
Tuchangamshe kidogo kijiwe kwa hi true story.
Ni mwaka 2016 nilimuona huyu mrembo, Ni mtumishi wa Umma na ana watoto wawili, kabeba zigo la haja na guu la dompo Kama sio la bia...
Naomba kujua kwa walioamua kuishi bila bila kuoa/kuolewa maisha yao yote na bila kuwa na watoto kabisa(sio kwasababu hana uwezo wa kuzaa).
Ni mambo gani yaliwasaidia kuishi hiyo lifestyle...
Wanaume anapoamua kuowa haangalii sana ufukara na umasikini wa mwanamke anapotoka wengi wao huangalia uzuri au tabia ya mwanamke husika, hili limewaponza wanaume wengi nikiwemo mimi.
Kumbuka kuna...
sijawahi kukutana na waafrika mwanaume na girlfriend wake au mke wake wawili tu wakisafiri pamoja, ila nimeshakutana na wahindi akiwa na mke wake au girfriend wakisafiri, wazungu ni kama kawaida...
Bado naendelea ku explore utafiti mwenye ushahidi /experience zaidi aendelea kushusha hapa nondo
Sijui ndio sababu wengi wao hawana permanent relationship au hawajaolewa au ndio maana...
Wakuu hebu tumalizie weekend na mada mkangamfu.
Ewe mwanaume ni kitu gani ukikiona kwa mwanamke au mwanamke akikifanya kwako inakukata stimu kabisa yaan turn off.
Mimi nitalist kadhaa
1...
ni kweli vijana wengi wa sasa hawataki kuoa single mothers, hamuoni kwamba hali hiyo inaweza kuwafanya mabinti wa Gen Z ambao ndo wengi bado hawajazaa kuwa waangalifu kupita kiasi kuhusu kupata...
EPS 1
Heshima Kwenu Wakuu,
Niliwaahidi Kwamba Nitawaletea Mkasa Kuhusu safari au Hekaheka zangu nilizozipata wakati nafanya Shughuli zangu za Udalali Jiji la Dar es salaam na maeneo ya jirani...
Naleta mada hii mezani nikiwa na masikitiko na hasira kali sana juu ya jinsi vijana wa kizazi hiki mnavyojidhalilisha. Mnasikitisha sana! Mnapoteza misingi ya kiume (masculinity) kwa kuwapa...
Kumekucha wazee?
Ni aibu na inaibisha mtu mwenye umri zaidi ya miaka 50 kungonoka na binti mwenye chini ya miaka 25.
Unaanzaje binti ambae ni sawa na mwanao wa mwisho ukawanae falagha eti kisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.