Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kila ninachokipata kinapotea kwenye mazingira yasiyoeleweka, kichwa kikuu kimeshindwa kabisa kufanya maamuzi magumu ya kuzuia pesa isipotee. Maendeleo yangu yamekuwa ni yakusua sua, wakati...
5 Reactions
18 Replies
324 Views
Kwa miaka mingi, jamii imekuwa ikitazama kufika kilele (orgasm) kama hatua ya mwisho na ushahidi wa mafanikio katika tendo la ndoa. Katika filamu, vitabu na hata mazungumzo ya kawaida, kilele...
2 Reactions
8 Replies
455 Views
Wakuu, Jana Vodacom system ili crash mida ya jioni. Kuna transaction nilifanya mida hio. Sasa nikasubiri labda meseji itarudi hakuna meseji iliyorudi mpaka leo muda huu hakuna meseji hakuna...
7 Reactions
42 Replies
721 Views
Niliwahi kuwa na girlfriend back in 2018, Alienielezea namna jamaa alivyokuwa anamchapa makofi na muda mwingine kumuingilia kinguvu kingono. Na akasema hataka amrudie tena huyo mbwa Red flag...
0 Reactions
1 Replies
160 Views
Jaman za jioni? Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu..... Me bwana nikawa busy na...
28 Reactions
182 Replies
3K Views
Guys kuna raha kua Mwanamke na raha ya Mwanamke kuhudumiwa, acheni sasa niwaambie mimi ni yule mwanamke hata nikipata mshahara sasa hivi, bado nitapiga simu kwa kaka zangu (wananipenda sana...
42 Reactions
764 Replies
8K Views
Hello wakuuu Tupeane mbinu mnaishije na mwenza au mpenzi mwenye tabia ngumu ambapo unakuta io tabia inakukera au zinakukera sana na umejaribu kuongea nae mara kwa mara lakini haachi,,,na unakuta...
13 Reactions
96 Replies
812 Views
Salamu wakuu. Tuchangamshe kidogo kijiwe kwa hi true story. Ni mwaka 2016 nilimuona huyu mrembo, Ni mtumishi wa Umma na ana watoto wawili, kabeba zigo la haja na guu la dompo Kama sio la bia...
16 Reactions
152 Replies
31K Views
Naomba kujua kwa walioamua kuishi bila bila kuoa/kuolewa maisha yao yote na bila kuwa na watoto kabisa(sio kwasababu hana uwezo wa kuzaa). Ni mambo gani yaliwasaidia kuishi hiyo lifestyle...
8 Reactions
48 Replies
898 Views
Je, mwanamke uliyemtongoza anaweza kukupenda zaidi ya wewe unavyompenda? Naomba mnijulishe nijue kama inawezekana
5 Reactions
25 Replies
378 Views
Wanaume anapoamua kuowa haangalii sana ufukara na umasikini wa mwanamke anapotoka wengi wao huangalia uzuri au tabia ya mwanamke husika, hili limewaponza wanaume wengi nikiwemo mimi. Kumbuka kuna...
22 Reactions
69 Replies
2K Views
sijawahi kukutana na waafrika mwanaume na girlfriend wake au mke wake wawili tu wakisafiri pamoja, ila nimeshakutana na wahindi akiwa na mke wake au girfriend wakisafiri, wazungu ni kama kawaida...
2 Reactions
1 Replies
105 Views
Bado naendelea ku explore utafiti mwenye ushahidi /experience zaidi aendelea kushusha hapa nondo Sijui ndio sababu wengi wao hawana permanent relationship au hawajaolewa au ndio maana...
14 Reactions
200 Replies
24K Views
Ni ishu ya DNA au tu mazoea. Maana huku kwetu wadada wenye makebo mapana ndio habari ya mjini ila wazungu ni mabinti wenye maanabeli mapana.
6 Reactions
90 Replies
1K Views
Wakuu hebu tumalizie weekend na mada mkangamfu. Ewe mwanaume ni kitu gani ukikiona kwa mwanamke au mwanamke akikifanya kwako inakukata stimu kabisa yaan turn off. Mimi nitalist kadhaa 1...
23 Reactions
430 Replies
7K Views
Kwenu wakuu tuwekane sawa
8 Reactions
29 Replies
331 Views
ni kweli vijana wengi wa sasa hawataki kuoa single mothers, hamuoni kwamba hali hiyo inaweza kuwafanya mabinti wa Gen Z ambao ndo wengi bado hawajazaa kuwa waangalifu kupita kiasi kuhusu kupata...
9 Reactions
105 Replies
1K Views
EPS 1 Heshima Kwenu Wakuu, Niliwaahidi Kwamba Nitawaletea Mkasa Kuhusu safari au Hekaheka zangu nilizozipata wakati nafanya Shughuli zangu za Udalali Jiji la Dar es salaam na maeneo ya jirani...
77 Reactions
596 Replies
141K Views
Naleta mada hii mezani nikiwa na masikitiko na hasira kali sana juu ya jinsi vijana wa kizazi hiki mnavyojidhalilisha. Mnasikitisha sana! Mnapoteza misingi ya kiume (masculinity) kwa kuwapa...
9 Reactions
42 Replies
521 Views
Kumekucha wazee? Ni aibu na inaibisha mtu mwenye umri zaidi ya miaka 50 kungonoka na binti mwenye chini ya miaka 25. Unaanzaje binti ambae ni sawa na mwanao wa mwisho ukawanae falagha eti kisa...
2 Reactions
13 Replies
272 Views
Back
Top Bottom