Wanaume anapoamua kuowa haangalii sana ufukara na umasikini wa mwanamke anapotoka wengi wao huangalia uzuri au tabia ya mwanamke husika, hili limewaponza wanaume wengi nikiwemo mimi.
Kumbuka kuna...
sijawahi kukutana na waafrika mwanaume na girlfriend wake au mke wake wawili tu wakisafiri pamoja, ila nimeshakutana na wahindi akiwa na mke wake au girfriend wakisafiri, wazungu ni kama kawaida...
Bado naendelea ku explore utafiti mwenye ushahidi /experience zaidi aendelea kushusha hapa nondo
Sijui ndio sababu wengi wao hawana permanent relationship au hawajaolewa au ndio maana...
Wakuu hebu tumalizie weekend na mada mkangamfu.
Ewe mwanaume ni kitu gani ukikiona kwa mwanamke au mwanamke akikifanya kwako inakukata stimu kabisa yaan turn off.
Mimi nitalist kadhaa
1...
ni kweli vijana wengi wa sasa hawataki kuoa single mothers, hamuoni kwamba hali hiyo inaweza kuwafanya mabinti wa Gen Z ambao ndo wengi bado hawajazaa kuwa waangalifu kupita kiasi kuhusu kupata...
EPS 1
Heshima Kwenu Wakuu,
Niliwaahidi Kwamba Nitawaletea Mkasa Kuhusu safari au Hekaheka zangu nilizozipata wakati nafanya Shughuli zangu za Udalali Jiji la Dar es salaam na maeneo ya jirani...
Naleta mada hii mezani nikiwa na masikitiko na hasira kali sana juu ya jinsi vijana wa kizazi hiki mnavyojidhalilisha. Mnasikitisha sana! Mnapoteza misingi ya kiume (masculinity) kwa kuwapa...
Kumekucha wazee?
Ni aibu na inaibisha mtu mwenye umri zaidi ya miaka 50 kungonoka na binti mwenye chini ya miaka 25.
Unaanzaje binti ambae ni sawa na mwanao wa mwisho ukawanae falagha eti kisa...
Kama una miaka 29+ huna chochote, si bora uwe shoga ukajiuze bwege mmoja wewe
Sitaki salamu nimeingia na hasira kuwapa ukweli wenu kavukavu nyie vilaza mnaojiona wanaume wakati ni takataka na...
Unalewaje ukisikia neno KUJIPENDEKEZA?
Neno kujipendekeza mara nyingi lina ladha ya dhihaka Ukisema
Fulani naye anajipendekeza sana mara nyingi unamaanisha mtu anajishusha au anajitahidi kupita...
Jana demu wangu aliniomba nimtumie laki moja. Kwa kuwa nampenda sana na tena nina mtoto naye.
Aliniarifu kuwa mama yake alikuwa mgonjwa sana. Ila cha ajabu leo mida saa tano nimemkuta baa na...
Nafikiri mwaka ukiisha mnipe tuzo ya watesekaji bora wa mahusiano JF.
Nipo na huyu kijana mwezi wa pili sasa lakini naona kama mapichapicha japo since tunaanza niliona ni mtu wa hivyo ila...
Wanawake sikilizeni kuna kitabia mnacho ambacho binafsi huwa kinatukera sana sisi wanaume. Wanawake nataka niwambie ukweli utakuta mmekwaruzana na demu/mpenzi wako afu anakwambia "nilijua tu...
Masturbation among birds is ‘natural’ and should not be punished, say experts
Study finds activity is not harmful or caused by stress of captivity – and is in fact more common in wild birds
Mon...
Udanganyifu katika mahusiano ni kitu kikongwe na kinachopigwa vita duniani kote watu kwa maelfu wamepoteza maisha kutokana na ishu za Udanganyifu wivu na kufumaniwa au kufumaniana
Kwa wasambaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.