Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wanaume anapoamua kuowa haangalii sana ufukara na umasikini wa mwanamke anapotoka wengi wao huangalia uzuri au tabia ya mwanamke husika, hili limewaponza wanaume wengi nikiwemo mimi. Kumbuka kuna...
22 Reactions
69 Replies
2K Views
sijawahi kukutana na waafrika mwanaume na girlfriend wake au mke wake wawili tu wakisafiri pamoja, ila nimeshakutana na wahindi akiwa na mke wake au girfriend wakisafiri, wazungu ni kama kawaida...
2 Reactions
1 Replies
105 Views
Bado naendelea ku explore utafiti mwenye ushahidi /experience zaidi aendelea kushusha hapa nondo Sijui ndio sababu wengi wao hawana permanent relationship au hawajaolewa au ndio maana...
14 Reactions
200 Replies
24K Views
Ni ishu ya DNA au tu mazoea. Maana huku kwetu wadada wenye makebo mapana ndio habari ya mjini ila wazungu ni mabinti wenye maanabeli mapana.
6 Reactions
90 Replies
1K Views
Wakuu hebu tumalizie weekend na mada mkangamfu. Ewe mwanaume ni kitu gani ukikiona kwa mwanamke au mwanamke akikifanya kwako inakukata stimu kabisa yaan turn off. Mimi nitalist kadhaa 1...
23 Reactions
430 Replies
7K Views
Kwenu wakuu tuwekane sawa
8 Reactions
29 Replies
331 Views
ni kweli vijana wengi wa sasa hawataki kuoa single mothers, hamuoni kwamba hali hiyo inaweza kuwafanya mabinti wa Gen Z ambao ndo wengi bado hawajazaa kuwa waangalifu kupita kiasi kuhusu kupata...
9 Reactions
105 Replies
1K Views
EPS 1 Heshima Kwenu Wakuu, Niliwaahidi Kwamba Nitawaletea Mkasa Kuhusu safari au Hekaheka zangu nilizozipata wakati nafanya Shughuli zangu za Udalali Jiji la Dar es salaam na maeneo ya jirani...
77 Reactions
596 Replies
141K Views
Naleta mada hii mezani nikiwa na masikitiko na hasira kali sana juu ya jinsi vijana wa kizazi hiki mnavyojidhalilisha. Mnasikitisha sana! Mnapoteza misingi ya kiume (masculinity) kwa kuwapa...
9 Reactions
42 Replies
521 Views
Kumekucha wazee? Ni aibu na inaibisha mtu mwenye umri zaidi ya miaka 50 kungonoka na binti mwenye chini ya miaka 25. Unaanzaje binti ambae ni sawa na mwanao wa mwisho ukawanae falagha eti kisa...
2 Reactions
13 Replies
272 Views
  • Closed
Kama una miaka 29+ huna chochote, si bora uwe shoga ukajiuze bwege mmoja wewe Sitaki salamu nimeingia na hasira kuwapa ukweli wenu kavukavu nyie vilaza mnaojiona wanaume wakati ni takataka na...
11 Reactions
169 Replies
2K Views
Palac anakuambia kwamba, Wanawake hawajawahi kujua wanataka nini ndo maana talaka ni kwa matajiri maskini utaskia mke alinikimbia.🤣🤣
15 Reactions
55 Replies
610 Views
Unalewaje ukisikia neno KUJIPENDEKEZA? Neno kujipendekeza mara nyingi lina ladha ya dhihaka Ukisema Fulani naye anajipendekeza sana mara nyingi unamaanisha mtu anajishusha au anajitahidi kupita...
7 Reactions
39 Replies
397 Views
Jana demu wangu aliniomba nimtumie laki moja. Kwa kuwa nampenda sana na tena nina mtoto naye. Aliniarifu kuwa mama yake alikuwa mgonjwa sana. Ila cha ajabu leo mida saa tano nimemkuta baa na...
13 Reactions
46 Replies
604 Views
Nafikiri mwaka ukiisha mnipe tuzo ya watesekaji bora wa mahusiano JF. Nipo na huyu kijana mwezi wa pili sasa lakini naona kama mapichapicha japo since tunaanza niliona ni mtu wa hivyo ila...
10 Reactions
221 Replies
6K Views
Wanawake sikilizeni kuna kitabia mnacho ambacho binafsi huwa kinatukera sana sisi wanaume. Wanawake nataka niwambie ukweli utakuta mmekwaruzana na demu/mpenzi wako afu anakwambia "nilijua tu...
24 Reactions
159 Replies
16K Views
Masturbation among birds is ‘natural’ and should not be punished, say experts Study finds activity is not harmful or caused by stress of captivity – and is in fact more common in wild birds Mon...
4 Reactions
6 Replies
204 Views
kumekuwa na wimbi la watu kutafuta MAHUSIANO kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii je unadhani hayo MAHUSIANO hudumu?
2 Reactions
8 Replies
242 Views
  • Redirect
7 Reactions
Replies
Views
Udanganyifu katika mahusiano ni kitu kikongwe na kinachopigwa vita duniani kote watu kwa maelfu wamepoteza maisha kutokana na ishu za Udanganyifu wivu na kufumaniwa au kufumaniana Kwa wasambaa...
19 Reactions
115 Replies
26K Views
Back
Top Bottom