Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Wajomba jana hapa Mwanza Bar ya Bundesliga Nyasaka nilikutana na rafiki yangu wa muda mrefu sana, katika kupiga 1 moto 1 baridi akaanza kuniambia ABCD tangu alipooa.....!! Huyu rafiki yangu...
2 Reactions
53 Replies
3K Views
Sidhani kama mimi ni mzembe ila pengine nimekuwa mwema sana kwenye dunia iliyojaa hayawani. Iko hivi, miaka mitano iliyopita nilimtongoza binti mmoja aliyekuwa anavutia kwa macho ya wengi hasa...
9 Reactions
40 Replies
2K Views
Nimekua nikiona washauri wengi wa masuala ya mahusiano wakitushauri wanaume kuoa wanawake bikra kwa kigezo kwamba ndio wanawake pekee ambao hawawezi chepuka kwenye ndoa zao tofauti na wale ambao...
7 Reactions
41 Replies
3K Views
Mwanamke hawezi kuonyesha upole, huruma, kujali, kunyenyekea, uvumilivu kwa mwanaume endapo mwanaume atakuwa siyo MUADILIFU. Hivi sasa kuna ongezeko la wanawake ambao wamejiandaa kupambana na...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu 9D HIYOOO, TANGANYIKA TULIYOPEWA NA MUNGU WA MBINGUNI HIYOOO. Kuna mdada alikuwa anapta eneo ninalofanyia biashara zangu anauza bisi kwny ndoo, nlimwambia nina vifaa vyote vya mradi wa...
5 Reactions
22 Replies
906 Views
Dada yenu,mdogo wenu na last born wenu wa Jamii Forums wa kizazi Cha 2000 ninakuja mbele yenu nikiwa hai hapa Tengeru Arusha,ninamshukuru Mungu kwakuwa siku ya maandamano niliamua tu kulala ndani...
35 Reactions
69 Replies
2K Views
Kila la Kheri wale ambao mna tatizo la kushika Mimba (Ujauzito) kwani naamini kwa Waarabu hawa Watatu mtaweza.
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine...
50 Reactions
283 Replies
9K Views
Ni rafiki wa kushibana kwetu kama kwao na kwao kama kwetu, urafiki wetu ni zaidi ya undugu maana tunasaidiana kuliko hata hao ndugu zetu wanavyo tusaidia Urafiki wetu ulianza na kukua kwa kasi...
3 Reactions
40 Replies
1K Views
Wakuu, iko hivi: Wife alikuwa na ratiba ya kwenda saloon, kitu ambacho alilazimisha sana. Sikupenda kumzuia, kwa hiyo nikamuelekeza kuwa atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani, lakini...
32 Reactions
115 Replies
4K Views
Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile ni pamoja na kutumia via visivyo vya uzazi kufanya mapenzi, kwa mfano kutumia sehemu ya haja kubwa kufanya ngono, kutumia midomo, vidole n.k Kasi ya uovu huo...
8 Reactions
104 Replies
6K Views
Wakati mwingine sisi wanaume tunakutana na mikasa mbalimbali tunapokuwa kwenye harakati za kufukuzia na mwishowe kula K. Unaweza kutana na mdada ambaye ni mswahili mpaka hamu ya kuendelea...
44 Reactions
172 Replies
21K Views
Nikikumbuka mpaka nilipost uzi humu nyie Aiseee siamini kama sasa hivi moyo wangu umekua na ganzi kiasi hiki. Nitajaribu kuhadithia kwa mafungu mafungu Ili kwa yoyote anaepitia changamoto ya...
49 Reactions
186 Replies
7K Views
Katika mahangaiko yangu ya kuzichakata na kuzibananga mbunye hapa dar CHANIKA pamenishangaza sana. Kumbe wakati nilipokua nahonga elfu 60 mpaka laki 1 kwa watoto wa chuo wa hapa mjini nlikua...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Wiki inaisha safi, mashangazi tukiongoza 3 -1, kifua mbele hakuna unyonge. Nawakumbusha tu, ukimkalia usoni wala usiogope kuweka uzito wa mwili wote, akizidiwa kwa kukosa hewa atakunyanyua...
18 Reactions
142 Replies
4K Views
Endapo mwanamke atajua ume fall crazily kwa muonekano, status, personallity yake, etc atahakikisha akuweke under control yake, kumaanisha kuwa hatakuheshimu kwa kuwa jembe tena kwa maana umeanguka...
12 Reactions
48 Replies
2K Views
Hii michezo sasa inatosha Ukitazama miili yetu kama tumetoka guantanamo inavyochakaa kwa meno, hasa nyie wadada wa mikoa ya kaskazini kule moshi, arusha n.k Kwanini mtumie meno mnapofikishwaga...
4 Reactions
11 Replies
557 Views
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu KABLA YA NDOA Mwanamke...
31 Reactions
262 Replies
10K Views
Labda nikufafanulie kidogo. Niko kwenye mahusiano na wanaume wawili: mmoja ni kijana kama mimi, ana miaka 27, na mimi nina miaka 24. Anaishi kwao, na baba yake ni mtu mwenye pesa sana, hivyo...
10 Reactions
100 Replies
4K Views
Back
Top Bottom