Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ugonile, kabla sijaendelea wale wa 50/50 hapa sio pahala pake. Binafsi sijaoa ivyo sitojikita sana kwenye mambo ya ndoa ingawa nmeishi na wanawake tofauti tofauti kwa nyakati tofauti na mpaka...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
Hakuna kuwaza, hakuna usumbufu.ni bata tuh na kuenjoy life. happy day to all single`s.
2 Reactions
9 Replies
115 Views
Kabla ujaingia kwenye ndoa fanya mambo haya Ndoa ni muunganiko kati ya mwanaume na mwanamke kuwa kitu kimoja. Hii ni Wazo(idea) la Mungu mwenyewe alimpa Adam msaidizi wake hawa na kuwa kitu...
7 Reactions
18 Replies
887 Views
Habari za jumapili Wakuu! Miaka hiyo bhana! Niko zako mwaka wa Kwanza nikiwa Likizo. Nimerudi zangu Moshi. Sasa mtaa tuliokuwa tunakaa ni karibu na Kota za Polisi pale Moshi Mjini. Kwa wanaojua...
18 Reactions
40 Replies
4K Views
Umri wangu ni Mika 45, mfanyakazi+ mkulima, natafuta mke mkristo. Mcha MUNGU, mwenye bidii
0 Reactions
3 Replies
324 Views
Kuna Gen Z nilikuwa nae kwa mwaka jana sasa mwaka huu mwanzoni Kuna wahuni wakaweka mguu Kati mi naona katoto kanazidi kupendeza afu dharau zinazidi kishingo upande nikakubali yaishe. Sasa sijui...
5 Reactions
12 Replies
338 Views
Wakuu, leo nataka tuzungumze ukweli mchungu ambao wanaume wengi wanaishi nao lakini wanaogopa kuusema hadharani kwa hofu ya kuonekana wabaya. Huu ni ujumbe mzito kwa hawa wanawake tulioishi nao...
3 Reactions
20 Replies
568 Views
Kwa kweli inahuzunisha sana, umemkuta mke wa mtu kazini, kwanini ujenge nae mazoea nje na mambo ya kazi? Eti mnakula pamoja amekuwa mke wako huyo? Naongea na wewe babu huna haya unajifanya...
6 Reactions
15 Replies
291 Views
Jamen wadau ogopen sana wake za watu ni sawasawa na kuchezea moto ukidhan hautakuchoma. Jamaa mmoja hapa kitaa saiv anaokota makopo na...
1 Reactions
4 Replies
141 Views
KARIBUNI KWENYE HIKI KISA CHANGU NA HUYU DADA. Way back miaka ya 2013 nikiwa bado nipo skul, kijijini kwetu walihamia watu wa familia moja wakitokea mkoa mwingine wakaja hapo kijijini kwetu mkoa...
0 Reactions
2 Replies
166 Views
1. "Uko wapi?" (The Tracking Syndrome) Kisaikolojia: Mwanamke huuliza kwa usalama, lakini mwanaume husikia kama anafuatiliwa au haaminiki (distrust). Ushauri: Badala yake, sema: "Natumai uko...
10 Reactions
27 Replies
801 Views
Ugonile, sijajua ni kwangu tu au namna gani vipi. wanawake naokutana nao sikuiz wananuka midomo ni balaa, yani kila napojiambia hii Pisi ni kali na imenyooka sana siwez kuiacha iviivi nakutana na...
15 Reactions
97 Replies
947 Views
Kuna mada inazungumzwa redioni mapenzi ya upande mmoja ambao unangaika na upande mwingine Ambapo kuna wakati katika mahusiano wewe na mpenzi wako mnafikia kipindi hakutafuti mpaka umtafute wewe...
7 Reactions
58 Replies
14K Views
Mimi ni mwisilamu,nina wachumba wawili,na wote nataka niwaoe wote kwa pamoja kwa mpigo. Je ni halali ndugu zangu katika imani? Aslam aleykum
7 Reactions
91 Replies
907 Views
Ni upumbavu mtupu usiona manufaa.ni hasara tup na kupotezeana mda. Bora tutafte ela itupende maana mapenz n uzushi usiokuwa na manufaa kiroho.bora nimpende Mungu tuh maan yy ndio anayenijal.
6 Reactions
32 Replies
365 Views
Hizi siku mbili tatu naona kidogo niwaletee mada za mahusiano tujadili sisi watu wazima. Suala la kuchepuka kwa kawaida ni uhalifu ndiposa wanaofanya hivyo hutakiwa kufanya kwa kificho (sichochei...
9 Reactions
48 Replies
790 Views
Umemnunulia simu mpya, atafurahi na kukushukuru, But guess what, ataipiga factory reset au kwenda kwa fundi kuiflasha kabla ya kuanza kuitumia
1 Reactions
1 Replies
86 Views
Hello. Dear Ladies. Nahisi hili Tatizo wengi wenu hamjijui kwa sisi Tunaobahatika kutembea na wanawake tofauti tofauti kuna hadha moja wengi Tunayokutana nayo. Harufu kali sehemu za siri...
12 Reactions
44 Replies
797 Views
Jana tulibishana sana na washikaji zangu wanne kuhusu hii ishu watatu walikuwa upande wa Russia, na si watu wa kawaida wameishi na kusafiri katika nchi nyingi tu ulaya,Marekani,thailand ,mongolia...
2 Reactions
7 Replies
212 Views
Back
Top Bottom