Ugonile,
kabla sijaendelea wale wa 50/50 hapa sio pahala pake.
Binafsi sijaoa ivyo sitojikita sana kwenye mambo ya ndoa ingawa nmeishi na wanawake tofauti tofauti kwa nyakati tofauti na mpaka...
Kabla ujaingia kwenye ndoa fanya mambo haya
Ndoa ni muunganiko kati ya mwanaume na mwanamke kuwa kitu kimoja.
Hii ni Wazo(idea) la Mungu mwenyewe alimpa Adam msaidizi wake hawa na kuwa kitu...
Habari za jumapili Wakuu!
Miaka hiyo bhana! Niko zako mwaka wa Kwanza nikiwa Likizo. Nimerudi zangu Moshi. Sasa mtaa tuliokuwa tunakaa ni karibu na Kota za Polisi pale Moshi Mjini. Kwa wanaojua...
Kuna Gen Z nilikuwa nae kwa mwaka jana sasa mwaka huu mwanzoni Kuna wahuni wakaweka mguu Kati mi naona katoto kanazidi kupendeza afu dharau zinazidi kishingo upande nikakubali yaishe.
Sasa sijui...
Wakuu, leo nataka tuzungumze ukweli mchungu ambao wanaume wengi wanaishi nao lakini wanaogopa kuusema hadharani kwa hofu ya kuonekana wabaya.
Huu ni ujumbe mzito kwa hawa wanawake tulioishi nao...
Kwa kweli inahuzunisha sana, umemkuta mke wa mtu kazini, kwanini ujenge nae mazoea nje na mambo ya kazi?
Eti mnakula pamoja amekuwa mke wako huyo?
Naongea na wewe babu huna haya unajifanya...
KARIBUNI KWENYE HIKI KISA CHANGU NA HUYU DADA.
Way back miaka ya 2013 nikiwa bado nipo skul, kijijini kwetu walihamia watu wa familia moja wakitokea mkoa mwingine wakaja hapo kijijini kwetu mkoa...
1. "Uko wapi?" (The Tracking Syndrome)
Kisaikolojia: Mwanamke huuliza kwa usalama, lakini mwanaume husikia kama anafuatiliwa au haaminiki (distrust).
Ushauri: Badala yake, sema: "Natumai uko...
Ugonile,
sijajua ni kwangu tu au namna gani vipi. wanawake naokutana nao sikuiz wananuka midomo ni balaa, yani kila napojiambia hii Pisi ni kali na imenyooka sana siwez kuiacha iviivi nakutana na...
Kuna mada inazungumzwa redioni mapenzi ya upande mmoja ambao unangaika na upande mwingine
Ambapo kuna wakati katika mahusiano wewe na mpenzi wako mnafikia kipindi hakutafuti mpaka umtafute wewe...
Ni upumbavu mtupu usiona manufaa.ni hasara tup na kupotezeana mda.
Bora tutafte ela itupende maana mapenz n uzushi usiokuwa na manufaa kiroho.bora nimpende Mungu tuh maan yy ndio anayenijal.
Hizi siku mbili tatu naona kidogo niwaletee mada za mahusiano tujadili sisi watu wazima.
Suala la kuchepuka kwa kawaida ni uhalifu ndiposa wanaofanya hivyo hutakiwa kufanya kwa kificho (sichochei...
Hello.
Dear Ladies.
Nahisi hili Tatizo wengi wenu hamjijui kwa sisi Tunaobahatika kutembea na wanawake tofauti tofauti kuna hadha moja wengi Tunayokutana nayo.
Harufu kali sehemu za siri...
Jana tulibishana sana na washikaji zangu wanne kuhusu hii ishu watatu walikuwa upande wa Russia, na si watu wa kawaida wameishi na kusafiri katika nchi nyingi tu ulaya,Marekani,thailand ,mongolia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.