Kabla ya Ndoa, haya ni mambo muhimu sana mnayopaswa kuyazungumza ili kuepuka maumivu na kuvunjika moyo baadaye:
1. Fedha - Tutazisimamiaje? Pamoja au kila mmoja kivyake?
Nani ataweka akiba, nani...
kwa wale mliojaaliwa kuwa na mtoto au watoto. Je, ulimpata mtoto wako wa kwanza ukiwa na miaka mingapi ?
Ulipanga au ilitokea kwa bahati tu ?
Swali special kwa wanawake: ulipata mimba kwa mara...
Nimepata manzi mmoja wa kichaga ila hili suala lake la kuona aibu linanipa kutafakari ananiigizia au ni kweli yupo hivyo niambieni sifa za wanawake wa hivi niweke ndani au ndio nitakuwa nimepigwa?
Binafsi kuna jambo linanishangaza. Mtu alipitia maumivu ya kuachwa na mzigo wa kulea mtoto peke yake, lakini bado anakutana na mwanaume leo, kesho tayari wanafanya ngono. Je, kweli hapo kuna somo...
Una mda gani kikojolea chako hakijakutana na kikojoleo chenzie
Siku moja?
Wiki moja?
mwezi mmoja?
Mwaka mmoja ?
Siku ukipewa unapewa yote au unapewa nusu nusu [unapunjwa🤪]
au hakijawahi...
Wakuu habari,
So nimerudi tena baada ya mazungumzo mengine marefu na rafiki yangu aliyeniita 'Toxic'
Wakati huu tulikua marafiki kadhaa wanaume kwa wanawake tukipiga stori hasa Ubingwa wa Arsenal...
Nimetoboka hela ndefu kwa huyu mdada kiasi kwamba hata akinitext kunisalimia bado nakumbuka gharama zangu na kulinganisha nae hata haviendani.
Nimekodi lodge ya gharama vyakula vya gharama na...
Wakuu, sote tunafahamu kuwa habari ya mjini kwa sasa inayotreand sana ni hii ya single mothers. Utasikia, single mother hivi,single mother vile, je nini chanzo cha hawa single mothers na nini...
hili jambo jamii haitaki kulisema sijui inaona aibu kuliongelea kwa vile wenye indusrty yao watasema hakuna ushahidi wa kisayansi lakini amini usiamini matumizi ya porn yanaweza kusababisha kile...
Kizazi cha 1980 mpaka mwisho Mwaka 1990 kina nguvu za kiume wengi wameoa ILA wanaondoka wakizinguana Wana divorce chapu.
1990- 2000 hiki kizazi kina robo tu ya nguvu za kiume za kizazi cha 1980...
Wanawake kwa hasili ni wavivu hasa hiki kizazi Cha kuanzia miaka ya 1990_2000
Most ya vitu wanavyovifanya ni vya kuiga tu yeye akishaona rafiki yake kapelekwa Serengeti National park naye...
"Have you ever been in love?"
Horrible isn't it?
It makes you so vulnerable.
It opens your chest and it opens up your heart
and it means that someone can get inside you and mess you up...
Habari jamiiforum.
Hii ni Kwa watu wazima 40+
Mambo meengi tunafanya ila kuna makosa yanajitokeza bila kujua,tunajiaibisha bila kujua.
Mbaya zaidi tunaona ni kawaida.
Na ni ngumu mtu kukwambia...
Hii mada inatuhusu sote,wanaotafuta wenza waume kwa wake na wale tayari washaoa,na wewe kataa changia tu hoja yako.
Ni kwamba, wewe uliyeoa ama kuolewa,ulitumia sifa/vigezo gani kumpata mwenza...
Habari za weekend ndugu wadau wa JF wa thamani sana!
Mimi katika balehe yangu na kukua kwangu nimesikia mengi mno kuhusiana na hili suala la dadapoa wanaojiuza maeneo mbali mbali hapa jijini Dar...
Nini kinasababisha kukwamia kwenye bao1 tu, kwa wenye umri wa kuanzia 35 years na kuendelea?
Na kama unaweza kufakamia bia6 bila breki katika umri huo, kulikoni ushindwe kuunganisha goli2 kwa1...
Waungwana, haya maisha bila pesa hayaendi.
Yaan pesa ni kila kitu.
Vijana acheni kupenda na kupendana bila pesa. My ex girlfriend alinambia:
"UPENDO SI PESA, UKINIPENDA NAMI NTAKUPENDA"
Haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.