Nina rafiki yangu, alitegemea kufunga ndoa dec thisyear,
Jana amemuacha mchumba wake waliyekaa 5 years tangu urafiki hadi uchumba.
huyo mchumba wake katoka arusha kaamia hapa dar huko maeneo ya...
Januari Tarehe 21,2009 Kulikuwa na Shamra Shamra za Kusisimua pale sehemu moja ya jiji la Wuhan Pale ambapo wachina wameshuhudia moja ya matukio machache sana ambapo kijana wao amejitosa na kuopoa...
je?kama mke uliye nae kwa wakati huu mlikuwa mkienda pamoja disco na sehemu mbalimbali za starehe kabla hamjaoana,ni sawa uzidi kwenda nae ama mke nyumbani mume ulabu na marafiki?na je,unaweza...
Hebu soma hii toka kwa watani zetu wa jadi uone jinsi kibao kinavyotugeukia wanaume siku hizi, I think haya mambo hata bongo yatakuwa ni ya kawaida siku hizi......
One thing that I find very...
Jana nilipata flashback ya enzi zangu wakati nilipokuwa single nikagundua kuwa nilikuwa nahangaika tu, najitesa. Kila demu nilikua namuona mzuri na nataka kumvua nguo tu, naweza piga tungi afu...
Sister wangu aliambia, BF wake alimwekea pete ndani ya glass iliyokuwa na Cocacola bila yeye kujua. Ilipokaribia kwisha, Shem alikwenda kwa Magoti huku akilalama "Will you Marry Me?"
Mimi...
Jamani nina tatizo ambalo linanyima raha kila nionapo picha ya mpenzi wangu, na mambo yanayotokea hivi sasa. Huyu mpenzi wangu zamani alikuwaga mlokole pindi hicho hata hatujafahamiana, bt baadae...
Tupo kwenye safari ya mapenzi, na kila mmoja anapopata mwenzi anakuwa na matarajio yake. Inawezekana yakawa ya dhahiri au siri ya moyo wako lakini yote kwa yote ni kwamba wote maisha yetu ya...
kwa kweli masistaduu siwaelewi.Jana kaniambia ana hamu sana ya kuku,nami kwa heshima,japo nabana matumizi nilimpeka kwa hoteli.Sijui ni uoga,ama kushiba ama ugeti kali??,sistaduu alionja paja tu...
Alikuwa akimchukia sana mamake, kisa alikuwa ana chongo
Mama yake alikuwa anafanya kazi ya uwalimu na kufanya biashara ya kupika kwenye maharusi, ili kuweza kumtunza mtoto wake pekee. Mtoto...
That the first two years of marriage are the toughest? This question comes to me in light of the report that Usher Raymond filed for petition to dissolve his marriage to his wife of nearly two...
Nimeona ndugu zangu muipate hii, ni stori ya kweli kabisa iliyo wahi kunitokea, japo kuna jina hapa nimelitumia kama langu lakini siyo. Endeleaaah!
Katikati ya miaka ya tisini baada yakumaliza...
KANO, Nigeria (AFP) Men trying to keep several wives happy and women competing with co-wives for their husbands' attentions has led to a boom in the sale of herbal aphrodisiacs in predominantly...
Baadhi yetu tumelelewa na kukutana na mazingira yaliyotufundisha hivyo kwa hiyo ndivyo tunavyoamini. Tunaamini kwamba tunapooa au kuolewa tunafanya hivyo ili kushiriki tendo la ndoa kama dhana ya...
Siku ya akina Mama imepita na sasa siku ya akina Baba inakuja. Tukumbushane mambo mazuri uliyotendewa na mzee that made you such a lady/gentleman that you are today.
Tukumbushane pia nicknames na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.