....Dogo mbona unakwenda mbio sana?Jamani!!mimi ni kijana maridadi na musomi,mika 29
naitaji jimama kwa mapenzi ya kweli kuanzia 35 year
text me a sms at 0653075944
....Dogo mbona unakwenda mbio sana?
mambo ya msingi ya maisha yako umeshaweka sawa au unakimbilia ngono tu wakati hata kitanda huna? Watch out usiwe unatafuta kitonga...wanaume kama mabinti!!!
wamoro Junior Member
Join Date: Wed Sep 2009
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
unatutisha mkuu, yani breki ya kwanza chumbani moja kwa moja!, Lol.
Mkuu George,jamaa nimem thank ili angalau awe na thank moja!wamoro Junior Member
Join Date: Wed Sep 2009
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
unatutisha mkuu, yani breki ya kwanza chumbani moja kwa moja!, Lol.
nimemosoma comments za baadhi ya wadau hapo,japo zimenishangaza ila naheshimu mawazo yao,ila lazima tujue ni bora kuwa muwazi wa nini unataka kuliko kupenda kwa fashion au sifa uwe sio muaminifu.
jamanin jimama ndio napenda ni bora kuwa muwazi kwenye hili kuliko kutafuta kabinti ili tu niwafurahishe watu alafu mwisho wa siki nakaua sio muaminifu!lipi la maana kati ya haya? "ndani ya kuukuli ukweli kuna jibu la kila tatizo mtu alionalo,bahati mbaya wengi huenda mbali kutafuta majibu ya matatizo yao na kusahau kuukili ukweli ndio jibu"
Ndugu unayetafuta jimama,
Salam sana!
Ina maana umekata tamaa ya maisha maana umri ulio nao ni potential kabisa kupata mwenza wako ,mkaanza kujenga maisha pamoja.Au pengine wewe ni wale waliokuwa kula-kulala majumbani kwao na hivyo hujazoea kujishughulisha?
Au wewe ni mama's boy hivyo unatafuta mother-figure uendelee kulelewa.
Tujuze agenda yako hasa tuielewe.
Wewe unajuaje kama anataka hayo yote uliyoyataja? Una haki gani ya ku condescend hizi values?
Wewe unajuaje kama mzao wake ulichukuliwa na jibaba na yeye akaona isiwe tabu ngoja nichukue mzao wa jibaba?
Hivi kila mtu anataka "maisha ya pamoja"? Unajuaje kama mshashi zake si za kukutana la limama lake halafu kuridhishana then after hapo kila mtu kivyake?
Where do you get the right to force someone to be what he doesnt want?
Hii inaweza kuwa ni namna moja ya wanawake kuonyesha usawa na wanaume.
taratibu ndugu yangu..... mwache anijibu mwenyewe..usimsemee......
Jamani!!mimi ni kijana maridadi na musomi,mika 29
naitaji jimama kwa mapenzi ya kweli kuanzia 35 year
text me a sms at 0653075944
wamoro Junior Member
Join Date: Wed Sep 2009
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
unatutisha mkuu, yani breki ya kwanza chumbani moja kwa moja!, Lol.
Siitaji msaada!!wala kulelewa!!nachotaka ni mapenzi tuuu!!
Na jimama lina nifaa,ni uchaguzi wangu!!!