Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kama unasoma duce halafu upo single naomba tuwasiliane...
Last edited:
Duke ni nini mazee! tunaomba ukiisha mpata mfunge ndoa msiishie kulana uroda tu! una maana Duke University?
http://www.duke.edu/
Ndio nilikuwa namaanisha hicho chuo.thanks 4 the link.
Mazee kwanini usiweke tangazo hapo chuoni? lets say kwenye website ama mbao za matangazo hapo Duke...maana JF kuna wadada wapo Kyela, Dar wengine Sikonge utakuwa umepunguza sana sample size!
nashukuru kwa ushauri..ila kwenda kuweka tangazo ni miyeyusho zaidi.ila nia yangu ni kuoa mwalimu ndo maana nimependekeza duke.
nafikiri una maana duce hapo bongo na sio us!
kaka nakusoma koote tanga hukweza kuopoa mtoto pale majani mapana?
kama unasoma duke halafu upo single naomba tuwasiliane...
Peleka hili bandiko DUKE, maana ndipo kunako ndiko!!!!!!
Naamini hata hapa naweza kupata kuwadi..
Huyu Mzushi sijui anazungumzia DUKE ya US ama DUCE ya Dar?
Kwahiyo ushaona JF ni ya makuwadi siyo!!!!???????? lione kwanza........
DUCE ya Dar-Tanzania