eRRy
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 1,125
- 204
Mazee naombeni ushauri wenu: nilikuwa na demu hapo kabla(tumeshatengana) baada ya kutengana akawa ananipigia sometimes kuniambia kuwa bado ananipenda ananihitaji ila mi nikawa namtolea nje so nashangaa leo kanipigia simu akidai ana mimba tena yangu, lakini mimi siioni hiyo mimba! inawezekanaje mtu kudai ana mimba baada ya kuachana kwa miezi 5? so confused! au ni hila za kuninasa tu?! ushauri: nifanyeje?