MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Heri ya Mwaka Mpya wapendwa!
Naona sasa huku kupita pita kwangu kwenye majumba ya watu kutanitokea puani. Nimekumbuka mwishoni mwa mwaka jana kulikuwa na mada nzuri ya whether its necessary kwa mwanamke kukata kigudi (kiuno) au la. Sasa huku nako nimekuta taarifa tata kuwa ukatikaji ule una madhara kama alivyosema mdau hapa sasa sijui kuna ukweli kiasi gani hapa! Anonymous said... Kwa upande wangu mwanamke ambaye hakatiki namwita mchoyo na siwezi kuwa naye tutashindana mbele ya safari kwani anaonyesha kuwa yupo pale kama picha tu kukatika kuna ammsha ari ya kungonoka
japo kukatika sana nako kunasababisha mwanaume afikie kileleni mapema kitu ambacho mwanamke anakuwa anaishia njiani
kwa hiyo akina dada angalieni namna mnavyowakatikia wanaume wenu coz unashangaa namna boy wako anavyowahi kukojoa unasema mbona unawahi sana kumbe ni kwa sababu mauno yako yamezidi.
Nimeitoa.... http://dinahicious.blogspot.com/2009/12/tofauti-ya-kukata-kiuno-kwa-raha-yako.html
Labda kina kaka ambao mlishatunukiwa vigudi mnawezathibitisha hili? kina dada je kuna ukweli wowote katika hili au?
Naona sasa huku kupita pita kwangu kwenye majumba ya watu kutanitokea puani. Nimekumbuka mwishoni mwa mwaka jana kulikuwa na mada nzuri ya whether its necessary kwa mwanamke kukata kigudi (kiuno) au la. Sasa huku nako nimekuta taarifa tata kuwa ukatikaji ule una madhara kama alivyosema mdau hapa sasa sijui kuna ukweli kiasi gani hapa! Anonymous said... Kwa upande wangu mwanamke ambaye hakatiki namwita mchoyo na siwezi kuwa naye tutashindana mbele ya safari kwani anaonyesha kuwa yupo pale kama picha tu kukatika kuna ammsha ari ya kungonoka
japo kukatika sana nako kunasababisha mwanaume afikie kileleni mapema kitu ambacho mwanamke anakuwa anaishia njiani
kwa hiyo akina dada angalieni namna mnavyowakatikia wanaume wenu coz unashangaa namna boy wako anavyowahi kukojoa unasema mbona unawahi sana kumbe ni kwa sababu mauno yako yamezidi.
Nimeitoa.... http://dinahicious.blogspot.com/2009/12/tofauti-ya-kukata-kiuno-kwa-raha-yako.html
Labda kina kaka ambao mlishatunukiwa vigudi mnawezathibitisha hili? kina dada je kuna ukweli wowote katika hili au?