Tukate tusikate?

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,563
Heri ya Mwaka Mpya wapendwa!
Naona sasa huku kupita pita kwangu kwenye majumba ya watu kutanitokea puani. Nimekumbuka mwishoni mwa mwaka jana kulikuwa na mada nzuri ya whether its necessary kwa mwanamke kukata kigudi (kiuno) au la. Sasa huku nako nimekuta taarifa tata kuwa ukatikaji ule una madhara kama alivyosema mdau hapa sasa sijui kuna ukweli kiasi gani hapa! Anonymous said... Kwa upande wangu mwanamke ambaye hakatiki namwita mchoyo na siwezi kuwa naye tutashindana mbele ya safari kwani anaonyesha kuwa yupo pale kama picha tu kukatika kuna ammsha ari ya kungonoka

japo kukatika sana nako kunasababisha mwanaume afikie kileleni mapema kitu ambacho mwanamke anakuwa anaishia njiani

kwa hiyo akina dada angalieni namna mnavyowakatikia wanaume wenu coz unashangaa namna boy wako anavyowahi kukojoa unasema mbona unawahi sana kumbe ni kwa sababu mauno yako yamezidi.

Nimeitoa.... http://dinahicious.blogspot.com/2009/12/tofauti-ya-kukata-kiuno-kwa-raha-yako.html


Labda kina kaka ambao mlishatunukiwa vigudi mnawezathibitisha hili? kina dada je kuna ukweli wowote katika hili au?
 
Heri ya Mwaka Mpya wapendwa!
Naona sasa huku kupita pita kwangu kwenye majumba ya watu kutanitokea puani. Nimekumbuka mwishoni mwa mwaka jana kulikuwa na mada nzuri ya whether its necessary kwa mwanamke kukata kigudi (kiuno) au la. Sasa huku nako nimekuta taarifa tata kuwa ukatikaji ule una madhara kama alivyosema mdau hapa sasa sijui kuna ukweli kiasi gani hapa! Anonymous said... Kwa upande wangu mwanamke ambaye hakatiki namwita mchoyo na siwezi kuwa naye tutashindana mbele ya safari kwani anaonyesha kuwa yupo pale kama picha tu kukatika kuna ammsha ari ya kungonoka

japo kukatika sana nako kunasababisha mwanaume afikie kileleni mapema kitu ambacho mwanamke anakuwa anaishia njiani

kwa hiyo akina dada angalieni namna mnavyowakatikia wanaume wenu coz unashangaa namna boy wako anavyowahi kukojoa unasema mbona unawahi sana kumbe ni kwa sababu mauno yako yamezidi.

Nimeitoa.... http://dinahicious.blogspot.com/2009/12/tofauti-ya-kukata-kiuno-kwa-raha-yako.html


Labda kina kaka ambao mlishatunukiwa vigudi mnawezathibitisha hili? kina dada je kuna ukweli wowote katika hili au?
mimi mara nyingi huwa inakuwa usiku,taa zimezimwa!.....:D!i dn't know nothing!

enewei ngoja nijipindue USWAZI,nitakujibu mama........
 
mimi mara nyingi huwa inakuwa usiku,taa zimezimwa!.....:D!i dn't know nothing!

enewei ngoja nijipindue USWAZI,nitakujibu mama........
Ah mi staki bwana yaani taa imezimwa ndo huoni kama unafika mapema au la? mh unakwepa kujibu tu hapa basi tuliframe swali je kukatika kiuno wakati wa mambo humsaidia mwanamke kufika mlima kilimanjaro mapema au haimsaidii?

Mi nahisi kama vile haimsaidii kwa kuwa anaconcentraite kwenye kukukatia tu ili akufurahishe wewe badala ya kusikilizia mapigo naye apate mzuka au?
 
This suits more to the young generation we have inside here, plus very senior bachelors!!

Uzuri au ubaya wa mkatiko uko subject to mambo mengi.

Kwa kurefer zamani nikiwa mdogo, kuna aina fulani ya msichana ambae wala hutahijaji mkatiko wowote toka kwake, na mwingine utataka akatike from the beginning hadi mwisho wa lami!

Sitaeleza zaidi ya hapo...nimechezwa!
 
This suits more to the young generation we have inside here, plus very senior bachelors!!

Uzuri au ubaya wa mkatiko uko subject to mambo mengi.

Kwa kurefer zamani nikiwa mdogo, kuna aina fulani ya msichana ambae wala hutahijaji mkatiko wowote toka kwake, na mwingine utataka akatike from the beginning hadi mwisho wa lami!

Sitaeleza zaidi ya hapo...nimechezwa!
HAHAHAH!
umenifurahisha sana
 
This suits more to the young generation we have inside here, plus very senior bachelors!!

Uzuri au ubaya wa mkatiko uko subject to mambo mengi.

Kwa kurefer zamani nikiwa mdogo, kuna aina fulani ya msichana ambae wala hutahijaji mkatiko wowote toka kwake, na mwingine utataka akatike from the beginning hadi mwisho wa lami!

Sitaeleza zaidi ya hapo...nimechezwa!

Kaka Pakajimmy nashukuru kwa jibu lako zuri ambalo bahati mbaya limeniamshia maswali kiasi but ndo hivyo tena umeniziba mdomo na superglue kwa kuwa UMECHEZWA. Aksante anyway though ya shingo upande kaka yangu. Much respect
 
mimi mara nyingi huwa inakuwa usiku,taa zimezimwa!.....:D!i dn't know nothing!

enewei ngoja nijipindue USWAZI,nitakujibu mama........
U better not try broda!
Utavuruga mipango yako yote in no time!
 
Ah mi staki bwana yaani taa imezimwa ndo huoni kama unafika mapema au la? mh unakwepa kujibu tu hapa basi tuliframe swali je kukatika kiuno wakati wa mambo humsaidia mwanamke kufika mlima kilimanjaro mapema au haimsaidii?

Mi nahisi kama vile haimsaidii kwa kuwa anaconcentraite kwenye kukukatia tu ili akufurahishe wewe badala ya kusikilizia mapigo naye apate mzuka au?
kwenye hili nadhani team-work inahusika sana!....:Dhapa najua mj1 lazima atanigongea senksi leo kwa mara ya kwanza nimekuwa upande wake
 
Ah mi staki bwana yaani taa imezimwa ndo huoni kama unafika mapema au la? mh unakwepa kujibu tu hapa basi tuliframe swali je kukatika kiuno wakati wa mambo humsaidia mwanamke kufika mlima kilimanjaro mapema au haimsaidii?

Mi nahisi kama vile haimsaidii kwa kuwa anaconcentraite kwenye kukukatia tu ili akufurahishe wewe badala ya kusikilizia mapigo naye apate mzuka au?

mmh, Nimeshatoka huko sasa

Issue ni kwamba kukatika huko kunategemea, unakatika involuntarily au voluntarily, kama ni ile automatic lazima upate mzuka tu,

lakini pia hata kama umenuia, kutokana na kwamba ile shughuli nzima inacombine mambo mengi, lazima utapata mzuka..mfani wakati nikiona unakatika kwa kujituma lazima nikusifie kwa maneno na mabusu moto moto wakati huo huo mtarimbo uko busy...so lazima utapata raha kama mawazo yako pale.

Kwa upande wa mwanaume, kuwahi au kutowahi..inategemea lakini kukatika kwa kiuno inaweza kufacilitate japo kwa mzoefu huwezi 'kukubali kushindwa' kirahisi inabidi umpe mtoto wa kike raha kwanza kabla hujamaliza!:cool:
 
Kidding too!...How can i be serious with buttons!
I know you broda...
hahahahaha!
kuna watu wapo so serious na buttons!......
emotions na nini si unajua!?!

enewei we upo karibu huko hebu katupostie update za mv butiama basi!watu tumekata tiketi tukamuone drogba lakini mood imepotea ghafla
 
hahahahaha!
kuna watu wapo so serious na buttons!......
emotions na nini si unajua!?!

enewei we upo karibu huko hebu katupostie update za mv butiama basi!watu tumekata tiketi tukamuone drogba lakini mood imepotea ghafla
Kuna squad kubwa sana ya JF sasa hv pale ziwani, so we gonna get the nyuz fresh as they are!

Kwa Drogba nendeni but,just a word of wisdom...pray for the guys in this saga
 
Kuna squad kubwa sana ya JF sasa hv pale ziwani, so we gonna get the nyuz fresh as they are!

Kwa Drogba nendeni but,just a word of wisdom...pray for the guys in this saga
sure!............ninawaombea hawa watu.turudi kwenye mada sasa.........
 
Mi nahisi kama vile haimsaidii kwa kuwa anaconcentraite kwenye kukukatia tu ili akufurahishe wewe badala ya kusikilizia mapigo naye apate mzuka au?

Mie nilijua anakatikia ili kufikia zile kona kali na yeye apate raha... sikujua ukikatika ndio unapoteza concentration... au nimekosea?
 
khaaa bro umenichekesha hapo!!!

Yes bht, some people are serious with buttons in the way u cant believe!

Hujasikiaga watu wanasema...'umeniharibia siku yangu', na seriously anaenda ka mkewe au MBA akiwa amepandisha mishipa ya shingo..lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom