Mh kova nae aliomba picha na drogba??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,943
22,095
Wanandugu nimeona mada ya kinyaia akiomba kupiga picha na didie drogb a wa ivory coast,bahati mbaya akufanikiwa
leo hii ukurasa wa mwisho dar leo kuna picha didie anaonekana katoka mazoezi kashika jesi,mzee wa watu kamanda KOVA kasima mama pembeni yake kama anampa salute;ssasa na huyu nae aliomba au aliombwa picha na drogba
 
Back
Top Bottom