Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,943
- 22,095
Wanandugu nimeona mada ya kinyaia akiomba kupiga picha na didie drogb a wa ivory coast,bahati mbaya akufanikiwa
leo hii ukurasa wa mwisho dar leo kuna picha didie anaonekana katoka mazoezi kashika jesi,mzee wa watu kamanda KOVA kasima mama pembeni yake kama anampa salute;ssasa na huyu nae aliomba au aliombwa picha na drogba
leo hii ukurasa wa mwisho dar leo kuna picha didie anaonekana katoka mazoezi kashika jesi,mzee wa watu kamanda KOVA kasima mama pembeni yake kama anampa salute;ssasa na huyu nae aliomba au aliombwa picha na drogba