NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Kuna tabia ya vijana imeanza siku hizi kwa kujiajiri kukata kucha za miguu za wake wa watu na wasichana wavivu kweli inanipa wasix2.
Nimeona jinsi mmojawapo hapa anavyokumbatia mama mguu mmoja huku anakwaruza na kupuliza unyayo mpaka huyu mama anasinzia na amevaa kimini na ni mweupee pee sasa huyu kijana ananyanyua mguu mpaka begani kwake huku akiwa amekaa chini na huyu mama amekaa kwenye kiti. Na anaoneka ni mtu wa makamo ya kati.
Sidhani kama ni sahihi. labda wenzangu mnifumbue macho labda mimi mshamba.
Nimeona jinsi mmojawapo hapa anavyokumbatia mama mguu mmoja huku anakwaruza na kupuliza unyayo mpaka huyu mama anasinzia na amevaa kimini na ni mweupee pee sasa huyu kijana ananyanyua mguu mpaka begani kwake huku akiwa amekaa chini na huyu mama amekaa kwenye kiti. Na anaoneka ni mtu wa makamo ya kati.
Sidhani kama ni sahihi. labda wenzangu mnifumbue macho labda mimi mshamba.