Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nipo katka mahusiano ya kwel,kwan katka miaka3 sijawah kumsalit nimpendae,cha kushangaza wivu umepitiliza,nisimtumie rafiki au mfanyakaz mwenzang mesej nikimwambia mic u.ugomv,akiniona napga stor...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
..Habari ndio hiyo, Wanawake sasa wataweza kukojoa wakiwa wamesimama kama Wanaume baada ya Ugunduzi wa kifaa hiki. Duh hizi haki sawa sasa zinapitilizasource: JD Blog
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Wapendwa MMU, Salaam kwenu wote in the name of love. Wadau, kuna kijana mwenzetu mmoja amekumbwa na mkasa mzito saana. Miaka kama 2 imepita, akiwa kwenye daladala aliachiwa mtoto na mwanamke...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mine are: 1. My daughter - she's my #1 fan, my pride and joy, my flesh and blood, my everything. 2. My parents - what can I say...If it wasn't for them I wouldn't be who I am today 3. Water -...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Me ni kijana wa miaka 27, naishi mikocheni A, Nipo Bachelor mwaka wa pili ..<br /> Nahitaji rafiki wa kike awe muelewa umri kuanzia miaka 20 na kuendelea, awe mchangamfu, ..<br /> Aliyetayari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dah natamani huyu mwanamke angejua kwamba after all those years she is still the only woman i ever think and dream damn!
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Asallam aleikum wanajf. Jamani kuna shemeji yng alimpa msichana mimba na kumkatisha masomo na kuamua kuish naye tn bila kuwajulisha wazazi na ndugu zk. Wazaz wa mume walipogundgua wakamshaur...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello JF! Nilikuwa mtu wa kubadili wanawake kama nguo, sikuwahi kuwa na upendo wa dhati ktk maisha yangu kwa wanawake, but tangu nimeanza kutumia hili jukwaa la mapenzi nimejifunza mengi na...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Wapendwa WanaJF. Natumaini wote mu wazima........naombeni msaada wa namna ya kushauri. Ni rafiki yetu kifamilia, kwa muda mrefu yeye na mumewe wamekuwa kwenye migogoro ya hapa na pale ya kindoa...
10 Reactions
515 Replies
34K Views
2 ma syd i think this is tru! how abt u jf member?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni msichana mrembo, msomi, aged 26, kuna kaka mmoja (30) ana mke wake na watoto wawili,he is handsome, has a cute wife ,familia yake ina furaha, Mada> huyo people kanizimia kitambo na for...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Habari za zenu wakuu nimamkini mpopoa. Wahenga walisema sikio halina mpaka. cku ya leo nimepata kusikia malumbano ya wawili ambao nawafahamu kiasi ila walikuwa wanalumbana kuhusu mambo ya kudu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Source: Power FM Radio Katika kipindi cha PATAPATA leo hii asubuhi, kipindi ambacho kinarudiwa jioni kila siku saa 1.15 nimesikia simulizi ya binti mmoja mwenye umri wa miaka 16 aliyefumaniwa...
1 Reactions
92 Replies
16K Views
Nilipoanza kazi nilionywa na wenyeji wangu juu ya huyu mama mfagizi wa hapa ofisini. Yeye ni mke wa mtu, na ni mama mtu mzima. Sijui kutokana na ugumu wa maisha au tabia tu, alikuwa na mchezo wa...
1 Reactions
61 Replies
5K Views
Nii wakati mwingine wengine wanaweza kujiuliza delila ni nani kwa wale wanaoua neno la mungu wanamjua delila alikuwa mke wa samson...alimpenda saana sana lakini kulitokea wafilisti wakimtafuta...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Moto Umezima SWALIMimi na mume wangu tumekuwa kwenye ndoa sasa ni mwaka wa 11, maisha yetu ni mazuri sana kila eneo la ndoa yetu isipokuwa suala la sex. Najiona kukumbuka sana namna moto wa...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Hapa ndio mahali unaweza pata msaada wakati wowote, sinamtu mwingine naweza wasiliananae kwa sasa. Naomba maombiyenu ili tufike salama. Hali ya hewa sionzuri ninakokwenda, tumekaa hewani more than...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Produce milk without eating grass Bleed for four to seven days without drying Bury a bone without digging a hole Make a man come without calling him Add yours
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Binafsi nashindwa kuwaelewa hawa ndugu zetu wanaokuwa na wake zao halafu wanapiga kambi kwa wanawake wengine (nyumbandogo/kimada) kwani binafsi ninavyoamini ni kwamba hao wanawake wa upande wa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
I have just contributed 1usd dollar to wfp to help fight hunger and help the needy to feed. I encourage you wakuu to do the same,if we are blessed with a little then letc share with our fellow...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…