<br />Hapa ndio mahali unaweza pata msaada wakati wowote, sinamtu mwingine naweza wasiliananae kwa sasa. Naomba maombiyenu ili tufike salama. Hali ya hewa sionzuri ninakokwenda, tumekaa hewani more than two hrs. Tumefanya emergence landing,
Dah nimecheka sana hii post. ni kwel kama hujavizoea unaeza piga mayowe, boss wangu mmoja aliapa kutopanda tena. naamin mkuu elia alifika salama.poleHivo vindege vya migodini ndivo vilivyo, kama hujazizoea unaweza piga ukunga,ila havidondokagi,nina imani utafika salama tu Elia