Hivi ndo wanadada wakiwa kwenye ndoa au

chavka

JF-Expert Member
Jun 21, 2011
223
46
Habari za zenu wakuu nimamkini mpopoa. Wahenga walisema sikio halina mpaka. cku ya leo nimepata kusikia malumbano ya wawili ambao nawafahamu kiasi ila walikuwa wanalumbana kuhusu mambo ya kudu jamaa analalamika kuwa anapo ombwa anapanga mpangilio wa kazi mara ngojea nikapike kwanza mara nikaoshe vyombo mara...... ila akitaka yeye akubali mpaka jamaa achakachue tena muda huohuo. nikajiuliza niwanawake wote wako hivyo au mwanadada anachakachua mshkaji?
 
Mh makubwa ila napenda kukutoa shaka usijeogopa kuoa. Sio wote wako hivyo na tena wengine wala si mpaka uombe... Lile tendo ni maridhiano halifailetewa ubabe wala utumwa
 
Lazima huyo dada kuna anayemtekenya na akifika kwa jamaa anamwona ni mzigo tu. Na bila shaka chanzo yote ya kutoka nje ni lazima huyo Baba naniii hana mapigo sawa sawa kwa huyo dada na bila shaka huyo Baba hilo litamgharimu kweli kweli we ukiwa kama jirani fuatilia tu na utasikia hapo ndani ni ugomvi ambao hauishi every day!
 
Mh makubwa ila napenda kukutoa shaka usijeogopa kuoa. Sio wote wako hivyo na tena wengine wala si mpaka uombe... Lile tendo ni maridhiano halifailetewa ubabe wala utumwa
<br />
<br />
Nilidhan ndio kamamtindo kao maana kaaz kweli kweli
 
Duh usemalo mwana never work alone ni kweli maana yaonesha mchiz maji yamezidi unga leo ndio maana alikuwa anabwatuka ovyo coz kaugovi kao kalidum kama 2hrs then nikasikia kimyaa jamaa akasepa kimtindo naona alikuwa ana2mia busara ya kukwepa inzi wa mtaa japo harufu wamesha sikia
 
Hao ndio wale wanaofanya hivyo halafu mume akitoka nje ya ndoa anatafuta mbaya wake, wakati ameyatafuta mwenyewe!
 
Kwani kwann inakuwa hvyo eti wanadada tuambieni? au ndio ile dhana wanaume wanapenda kungonoka? au ndio anaogopa kuzeeshwa kama wanavyo dai wadada weng? yani sijapata picha anafikiria nn na kwann alitaka kuolewa
 
Ampunguzie majukumu mkewe, kwa kumwekea msaidizi, ili akose cha kusingizia
 
wako sahihi we unadhani wao hawachoki, huyo mkeo kawa kama housegirl kwanini hasiwe na vizingizio vingi
 
Lakin mbona cc wanaume tunafanya kazi ngumu tena unatoka asubuh unarud 12 jion ukipiga panadol 2 unabanjuka kama kawa ila wanadada ndio mnajijua zaid mi cjawah kukutana na style hii ndio maana nimejiuliza sana
 
Kwani kwann inakuwa hvyo eti wanadada tuambieni? au ndio ile dhana wanaume wanapenda kungonoka? au ndio anaogopa kuzeeshwa kama wanavyo dai wadada weng? yani sijapata picha anafikiria nn na kwann alitaka kuolewa

Chavka
Sababu ziko nyingi si hiyo ya kuwia wanaume wanapenda tendo zaidi ya wanawake ambayo mimi pia siikubali. Nadhani suala kuu ni upendo/mapenzi lakini sababu nyingine zinawezakuwa
1. Uchovu wa kazi (Kama alivyosema Shantel) mdada anakuwa amechoka sana lakini kwa vile wengi huamini kuwa ukishaolewa huruhusiwi kumkatalia mumeo basi inabidi atafute visingizio kama kuumwa na kichwa, bado sijamaliza kazi n.k.
2. Inawezekana pia sometimes mdada anakuwa hajisikii kushiriki. Unajua wanawake wanakwenda kwa hisia zaidi so ili ashiriki kikamilifu na afurahie ni lazima kwanza hisia zake ziwe tayari. Sasa kama hakutayarishwa kihisia tangu mapema na badala yake mbaba anasubiri watoto weshalala, yeye ameshakula ameshiba, ashawekewa maji akaoga anadai kidogo huwa inatukwaza and sometimes tunawafikiria kuwa mko so selfish mnajifikiria ninyi tu....
3. Inawezekana pia kama alivyosema mdau hapo juu huyu mbaba hamridhishi vema mkewe kiasi kwamba mke anajionea kero tu. Na kuridhisha namaanisha pengine yeye akishamaliza hajali haja ya mwenzie, na akimaliza anageukia ukutani na kukoroma n.k sasa mke akiombwa anafikiria tu ........huyu aenda nichosha tu ..........i
Najua unawezauliza mbona yeye akiomba anataka chapchap kama huyu mbaba hamridhishi? ni kweli but inawezekana anapokuwa aknaomba huwa amefikia point ile ya no return yaani amebanwa aihitaji hiyo ghuduma na hataki kucheat so inabidi tu aombe ashughulishwe.
eh.......mnisamehe wajameni
 
Lakin mbona cc wanaume tunafanya kazi ngumu tena unatoka asubuh unarud 12 jion ukipiga panadol 2 unabanjuka kama kawa ila wanadada ndio mnajijua zaid mi cjawah kukutana na style hii ndio maana nimejiuliza sana

Lol hapa naomba nikutanie Chavka...............kwenu nyie hii ni njia mojawapo ya kurelease tension, na uchovu wakati kwa wadada sehemu ni starehe na sehemu bado ni kazi LOL we fikiria kuchezeshewa kiuno hadi uridhike, kupaishwa hadi uridhike unafikiri mchezo?!! mara nyingi kwenu si lazima kuonyeshe machejo.....hahahahah

(Jamani hii post ni ya kuondoa stress za wiki msijenibana kwa maswali.......Sina majibu)
 
Kwani kwann inakuwa hvyo eti wanadada tuambieni? au ndio ile dhana wanaume wanapenda kungonoka? au ndio anaogopa kuzeeshwa kama wanavyo dai wadada weng? yani sijapata picha anafikiria nn na kwann alitaka kuolewa

kwanini unamtazama mdada tu ilhali kuna uwezekano mkubwa wa huyo mume wake kuwa chanzo cha hiyo tabia? BTW, tabia zinatofautiana kati ya mtu na mtu na huweza kubadilika kutokana na sababu tofauti tofauti kama vile kuchokana/kuchoshwa na vijitabia fulani vya mwenzi wako, emotinal destructions ikiwemo stress & misunderstandings, na vitu vingine vingi. Ili kuyasolve haya its better kukalishana chini na kuelezana ukweli, mnaombana radhi then mnadelete machafu yote na kumaliza tofauti zenu na sio kuyapeleka vijiweni ambako hakuna msaada wowote zaidi ya kuambulia umbea tu!!
 
Lol hapa naomba nikutanie Chavka...............kwenu nyie hii ni njia mojawapo ya kurelease tension, na uchovu wakati kwa wadada sehemu ni starehe na sehemu bado ni kazi LOL we fikiria kuchezeshewa kiuno hadi uridhike, kupaishwa hadi uridhike unafikiri mchezo?!! mara nyingi kwenu si lazima kuonyeshe machejo.....hahahahah<br />
<br />
(Jamani hii post ni ya kuondoa stress za wiki msijenibana kwa maswali.......Sina majibu)
<br />
<br />
Dah nimekupata mwanajamiione nikwel usemalo huwa cc tunalichukulia kama katoa machov zaid na sio stareh au kazi kuubwaa. ndio maana 2nakale kamsemo 'nipe kidogo nichangamshe damu' cna la zaid maana kila jinsia inajijua yenyewe japo ipo tofaut
 
kwanini unamtazama mdada tu ilhali kuna uwezekano mkubwa wa huyo mume wake kuwa chanzo cha hiyo tabia? BTW, tabia zinatofautiana kati ya mtu na mtu na huweza kubadilika kutokana na sababu tofauti tofauti kama vile kuchokana/kuchoshwa na vijitabia fulani vya mwenzi wako, emotinal destructions ikiwemo stress &amp; misunderstandings, na vitu vingine vingi. Ili kuyasolve haya its better kukalishana chini na kuelezana ukweli, mnaombana radhi then mnadelete machafu yote na kumaliza tofauti zenu na sio kuyapeleka vijiweni ambako hakuna msaada wowote zaidi ya kuambulia umbea tu!!
<br />
<br />
Kipipi nimelitazama hivyo kwa wadada coz jamaa ndio alikuwa anaunguruma na bint hakutoa lazaidi. huenda ka2mia busara au ndio ukwel uliopo. duh dunian kunamambo kweli
 
Kipipi nimelitazama hivyo kwa wadada coz jamaa ndio alikuwa anaunguruma na bint hakutoa lazaidi. huenda ka2mia busara au ndio ukwel uliopo. duh dunian kunamambo kweli

Nimeshakupata mkuu. Mi nahisi hii iko kifeelings zaidi thats why hata mdada huwa anaomba sometimes!!
 
Back
Top Bottom