futikamba
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 243
- 13
Wapendwa MMU,
Salaam kwenu wote in the name of love.
Wadau, kuna kijana mwenzetu mmoja amekumbwa na mkasa mzito saana. Miaka kama 2 imepita, akiwa kwenye daladala aliachiwa mtoto na mwanamke aliekuwa amevaa hijabu mpaka machoni kama wale mataleban. Basi, huyu kaka yetu ikabidi amchukue huyu kiumbe na kuishi/kumlea kama mwanae nae. Sasa juzijuzi mwanamke mmoja akajitokeza akidai kwamba yule ni mwanae. Mshkaji ni bachelor hana mke. Sasa yeye anasema anampenda sana huyo mtoto na hataki kumkosa, huku mwanamke anamsumbua. Leo ameniambia amehama nyumba sababu ya usumbufu. Tusaidiane mawazo, je afanye nini ili aweze kujiridhisha?
Salaam kwenu wote in the name of love.
Wadau, kuna kijana mwenzetu mmoja amekumbwa na mkasa mzito saana. Miaka kama 2 imepita, akiwa kwenye daladala aliachiwa mtoto na mwanamke aliekuwa amevaa hijabu mpaka machoni kama wale mataleban. Basi, huyu kaka yetu ikabidi amchukue huyu kiumbe na kuishi/kumlea kama mwanae nae. Sasa juzijuzi mwanamke mmoja akajitokeza akidai kwamba yule ni mwanae. Mshkaji ni bachelor hana mke. Sasa yeye anasema anampenda sana huyo mtoto na hataki kumkosa, huku mwanamke anamsumbua. Leo ameniambia amehama nyumba sababu ya usumbufu. Tusaidiane mawazo, je afanye nini ili aweze kujiridhisha?