kama sio aling'olewa kizaz kwenye purukushan za kutoa mimba kpindi cha ujana wake, basi kwa upole amueleze jamaa ataelewa tu!Jaman wanajf ivi kama mwanamama kajigundua ana saratani ya shingo ya kizazi na uwezekano wakupata mtoto hakuna. Je aifiche hii siri asimwambie mume wake au amwambie. Na hajawah kupata mtoto
Jaman wanajf ivi kama mwanamama kajigundua ana saratani ya shingo ya kizazi na uwezekano wakupata mtoto hakuna. Je aifiche hii siri asimwambie mume wake au amwambie. Na hajawah kupata mtoto
Inabidi umjue mume wako kwanza ni mtu wa aina gani. Kama unaona atalichukilia hili jambo negatively, ni bora usimuambie kabisaTatizo anaogopa kuachwa au kuolewa mke wa pili. Na pia kunyanyasika.
Jaman wanajf ivi kama mwanamama kajigundua ana saratani ya shingo ya kizazi na uwezekano wakupata mtoto hakuna. Je aifiche hii siri asimwambie mume wake au amwambie. Na hajawah kupata mtoto
mficha uchi hazai.........................mficha ugonjwa hatibiwi........................hapo n kuchagua kufa na chupi shingoni...............au kushirikiana na mzee kutafuta..........tiba...................na saratani ya shingo ya uzazi utakuta kama siyo mwingi mzee wake kamletea...............kwa hiyo ni vyema akamwajibisha.......................na mzee akapimwe kama siyo msambazaji wa hiyo balaa...........