Natafuta mtaalamu wa mambo ya mahusiano, matatizo yangu ni makubwa, tafadhali nisaidieni

Ashangedere

Senior Member
Aug 9, 2010
119
31
Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi) japo niliambulia ulcers na BP na wala hakujali. sasa ukafikia wakati mwanzoni mwaka huu moyo ukakataa kabisa yani najitahidi kuwa na hisia za mapenzi na huyu mme wangu lakini wapi yale yote ya nyuma yanajirudia!! sasa ndio kashtuka na mimi moyo umegoma kabisaaaaa yani yeye ndio amekuwa kama mimi nilivyokuwa zamani yani hatulii kwa wivu na kuumwa roho lakini mimi mapenzi kushney nikimuangalia najiuliza hivi nilimpendea nini?? namuonea huruma anavyohangaika lakini roho yangu haitaki tena, nahitaji mtaalamu anishauri sijui kama nataka hii ndoa au siitaki kifupi sijielewi ila najua kuwa mapenzi ya hisia kutoka kwangu kwenda kwa mwenzangu hakuna, japo simchukii namuona kama ndugu yangu hivi.

UPDATE:
Baada ya hapa nilipata vituko zaidi vya huyu bwana, mambo ya wanawake na nikamface na kumueleza live kuwa simfeel tena kila mtu akae chumba chake, tulikuwa wawili tu, basi niliambulia kipigo mwenzenu na ndugu zangu walipoingilia wakatukananwaaa ukoo wote. kwa hiyo issue imekuwa kubwa ndugu zangu hawampendi na wananiambia niondoke ataniua na kipigo au ukimwi. Kama kawaida yake kawa tena mpole na kulia juu anadai harudii tena kunipiga ni kama mara ya nne hii katika hii miaka 5. yani kawa mpole anajifanya baba wa familia, lakini mimi nahisi kipato ndio kinachangia aogope kuachana na mimi kwani hapo nyuma kipato changu kilikuwa kidogo na tulikuwa tukigombana tu ananiambia kama vipi tuachane, sikuhizi maisha yetu yamebadilika sababu ya kipato changu tuna mahitaji yote muhimu kwa maisha ya dar nyumba gari etc basi nahisi labda anaogopa maisha ya peke yake na ninamuonea huruma kwa hilo kwani kipato chake kidogo sana. Zaidi mwenzangu huyu ni muongo katika mambo mengi na anakopakopa hovyo halafu halipi nakuja kudaiwa mimi , lakini kizuri anawapenda wanae sana kuongea nao kucheza nao na yeye wanampenda sana na ndio kitu kinanifanya nisite kuamua. JE kunauwezekano wa mimi kuishi nae nyumba moja lakini kila mmoja awe na chumba chake kisheria? sitaki kutengana nae kwani yeye atapata tabu na watoto pia, pia nimekubali siwezi kumchunga na ninataka afanye mambo yake kwa uhuru ila asiniletee wanawake hapo nyumbani, tatu hiyo italeta amani kwani mimi nitakuwa happy sababu simfeel kimapenzi tena na yeye pia, ushauri tafadhali.
 
Kuna huyu mama sina uhakika kama hii email ila jaribu kuwasiliana nae kama iko sawa anaweza kukusaidia,amkindi2000@yahoo.com!
 
pole sana kwa yote yaliyokukuta ingawa mimi si mtaalamu wa mahusiano..,kama amerudi nawe umeamua kumsamehe samehe kabisa na siyo nusu..,jichunguze unaweza kuta huku kujiona kwako sasa ndio kulimfukuza mara ya kwanza..,kumbuka roho kuuma na wivu kupita siyo mapenzi huo waweza kuwa uchungu utokanao na hatia..,fine umevumilia 5yrs yawezekana Mungu amejibu je unataka jibu zaidi ya hilo..,unamuonea huruma ni symptom ya upendo wa ndani huo.., usitafute walimu walimwengu wao wamejaa visasi ili kesho wapate cha kusema..., soma biblia na kitabu TENDO LA NDOA by tima and baverly lahaye
 
Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi) japo niliambulia ulcers na BP na wala hakujali. sasa ukafikia wakati mwanzoni mwaka huu moyo ukakataa kabisa yani najitahidi kuwa na hisia za mapenzi na huyu mme wangu lakini wapi yale yote ya nyuma yanajirudia!! sasa ndio kashtuka na mimi moyo umegoma kabisaaaaa yani yeye ndio amekuwa kama mimi nilivyokuwa zamani yani hatulii kwa wivu na kuumwa roho lakini mimi mapenzi kushney nikimuangalia najiuliza hivi nilimpendea nini?? namuonea huruma anavyohangaika lakini roho yangu haitaki tena, nahitaji mtaalamu anishauri sijui kama nataka hii ndoa au siitaki kifupi sijielewi ila najua kuwa mapenzi ya hisia kutoka kwangu kwenda kwa mwenzangu hakuna, japo simchukii namuona kama ndugu yangu hivi.

  • hukumbuki ulimpendea nini.
  • Roho yako haitaki tena,
  • wamuona kama nduguyo....
madhali unasema yeye angali anakupenda,....endelea kujihifadhi kwanza na "jini likujualo...!"
Utapokuwa tayari, ongea nae ukweli wako.
 
Achana na huyo Bwana hata kama akijiua. Mtu ambaye alikuwa akikusumbua hupaswi kuendelea kumbembeleza. We tafuta kidume kingine ambacho utakuwwa unakipenda kikupe raha. Usijinyime raha maisha ni mafupi ndg yangu. Habari ndo hiyo. Kama vipi tukutane kwenye private.
 
pole dia embu sema na moyo wako kwa muda wa wiki nzima,then jipe muda amani ya bwana iamue ndani yako
 
tatizo ni kubwa jaribu kufuta hasira zako,
pia mwambie ukwel ili mjue mnawezaje kurudisha penz lenu la zaman
 
Jaribu kusubiri moyo wako uamue na siyo mtu akushauri kuamua..Usichukue maamuzi ya haraka..time will tell! Kuwa na subira moyo wako utaamua wenyewe..
 
kama wakati unatendwa ulivumilia wakati amejirudi unashindwa nini kuyasahau ya nyuma?
 
Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi) japo niliambulia ulcers na BP na wala hakujali. sasa ukafikia wakati mwanzoni mwaka huu moyo ukakataa kabisa yani najitahidi kuwa na hisia za mapenzi na huyu mme wangu lakini wapi yale yote ya nyuma yanajirudia!! sasa ndio kashtuka na mimi moyo umegoma kabisaaaaa yani yeye ndio amekuwa kama mimi nilivyokuwa zamani yani hatulii kwa wivu na kuumwa roho lakini mimi mapenzi kushney nikimuangalia najiuliza hivi nilimpendea nini?? namuonea huruma anavyohangaika lakini roho yangu haitaki tena, nahitaji mtaalamu anishauri sijui kama nataka hii ndoa au siitaki kifupi sijielewi ila najua kuwa mapenzi ya hisia kutoka kwangu kwenda kwa mwenzangu hakuna, japo simchukii namuona kama ndugu yangu hivi.

Pole sana.
 
pole sana.... Jaribu kujilazimisha kuwa nae mara kwa mara.. Itarudi polepole na Utampenda zaidi..... Pole Mama...
 
Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi) japo niliambulia ulcers na BP na wala hakujali. sasa ukafikia wakati mwanzoni mwaka huu moyo ukakataa kabisa yani najitahidi kuwa na hisia za mapenzi na huyu mme wangu lakini wapi yale yote ya nyuma yanajirudia!! sasa ndio kashtuka na mimi moyo umegoma kabisaaaaa yani yeye ndio amekuwa kama mimi nilivyokuwa zamani yani hatulii kwa wivu na kuumwa roho lakini mimi mapenzi kushney nikimuangalia najiuliza hivi nilimpendea nini?? namuonea huruma anavyohangaika lakini roho yangu haitaki tena, nahitaji mtaalamu anishauri sijui kama nataka hii ndoa au siitaki kifupi sijielewi ila najua kuwa mapenzi ya hisia kutoka kwangu kwenda kwa mwenzangu hakuna, japo simchukii namuona kama ndugu yangu hivi.

Pole sana Ashangedere. Mapenzi siyo Linear Equation kwamba siko zote yatakuwa ni Tambarare. Kwenye Mapenzi kuna Ups and Downs Nyingi sana ila Nakushauri Uwe Mtulivu naamini Jibu litakuja. Take a Vacation with your Hubby sehemu yenye Utulivu na Mkatafari yale mazuri yaliyowahi kutokea kwenye Relation yenu na Myazike yake Mabaya muanze Upya. Give him the Second Chance

Dr. Love
 
Pole sana mdada,unatakiwa kumsamehe kabisa na jaribu kutoa mauchungu yote yaliyoko moyoni mwako.Pia jaribu kutafuta jambo jema na zuri alilowahi kukufanyia hasa ule upendo uliokuwepo kabla ya ndoa.Amebadilika kwa sababu amekwishatambua amekukosea sana ila tu hawezi kusema samahani.
 
Pole sana. Km amejirudi nawe rudi anzeni upya na km wakati ana run huko nje na wewe ulijipatia m2 wa kukusitiri bs lazma umuone km kakako so acha ya nje focus kwake kwa sasa kwa kupiga moyo konde na anza kufikiria yaliyo mazuri toka kwake, achana na huyo anaekufanya umuone si ki2 then anza kumuangalia kivingne. Jikaze cku moja akija toka either job, mkumbatie, mkiss, ongea nae vizuri kwa adabu, kuleni pamoja then ogeni pamoja km mazingira yanaruhusu then nenda kamuonyeshe ufundi wako kitandani ukimaliza hayo mweleze how much u love him na jinsi anavyokutesa. Mwambie pamoja na yote yaliyotokea ucku huo uwe ndio mwanzo mpya wa pendo lenu, i knw atarepent, nawe umsamehe na utakuwa huru ktk nafsi yako. Unajua Wanaume ni watu ambao wakioneshwa pendo kidogo tu hubadilika sana so kwa vile ameanza kuchange ukifanya na hayo bs atakuwa gud boy daima. Gv him chance and gv urself chance too cuz i knw u hv sm feelings toward him though its little make it to grow! Km wewe ni Mkristo, unajua ukishaolewa bs ukiachana nae ndio mwisho wa kuolewa then kwa nini umwache uliemzoea na kwenda kuanzisha mahusiano mapya yasiyo na u2kufu? Mpe nafasi, mpende, na mheshimu, ji2nze na anza kumwangalia kwa jicho zuri, mambo yatakuwa ok. AMINI NOBODY CAN MAKE U BAD, MAD, SAD OR GLAD BT WE CHOOSE WHAT TO BE SO ITS UR CHOICE TO LOVE OR REJECTING HIM.
 
tatizo jamii yetu hata kama huna mapenzi na unaeishi nae{hasa kama ni mume au mke}utaendelea kukaa nae tu hivyo hivyo.ni ngumu mno ki ukweli kama moyo umeshakufa ganzi,ila kama upo tayari kuendelea nae,haina haja ya kumuona mtaalam.mtaalam ni wewe mwenyewe.ukitaka kuyaweka mambo sawa,utayaweka tu,kwa kuwa huyo bwana ameshajirudi.kaa chini umueleze ukweli maybe na yeye atakusaidia kwani mwenyewe umesema anajitahidi.itachukuwa muda mrefu kuwa ok na huyo m.me,toa kinyongo katika roho yako,jirudi taratibu
 
Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi) japo niliambulia ulcers na BP na wala hakujali. sasa ukafikia wakati mwanzoni mwaka huu moyo ukakataa kabisa yani najitahidi kuwa na hisia za mapenzi na huyu mme wangu lakini wapi yale yote ya nyuma yanajirudia!! sasa ndio kashtuka na mimi moyo umegoma kabisaaaaa yani yeye ndio amekuwa kama mimi nilivyokuwa zamani yani hatulii kwa wivu na kuumwa roho lakini mimi mapenzi kushney nikimuangalia najiuliza hivi nilimpendea nini?? namuonea huruma anavyohangaika lakini roho yangu haitaki tena, nahitaji mtaalamu anishauri sijui kama nataka hii ndoa au siitaki kifupi sijielewi ila najua kuwa mapenzi ya hisia kutoka kwangu kwenda kwa mwenzangu hakuna, japo simchukii namuona kama ndugu yangu hivi.

Pole sana lkn navyojua mie jaribu kukaa nae na kuongea kwa UPOLE tu, wala usiwe na papala maana hapo kunaweza tokea ugomvi kati yako na yeye pia sise wanaume wengi hutaka wewe uwe REASON (epuka hilo), halafu chunguza kwa nini kabadirika? Some reasons must be thur....1.Either katendwa kwa nyumba ndogo 2.Kuna mtu kamzidi kete so anaona ngoja arudi kujipoza. 3.Cash imeshuka kiwango(Crisis)...ukijua sababu mojawapo ya hizo ujue akirudi inakuwa ni mara dufu.......Omba kwa sasa uende kwenu likizo kidogo kama unafanya kazi omba likizo kazini kapumzishe akilli kama atakufata huko huko muanzishie LIVARANGATI la why why why why? Wewe si ASHA NGEDERE bwan?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom