chaguo la kumezea au malipizi.........

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,172
hasira za mkizi hutuponza kujenga makusudio ya kulipiza kisasi..............................lakini hayo huwa ni kivuno cha mvuvi................kisasi humfunga mlenga kwa mlengwaji........................kwani kusudio la kulipiza kisasi hukufanya umfuatilie kwa karibu mlengwa kwa kusudio la kumwonyesha kazi bila ya kujijua ya kuwa ni wewe ambaye utaonyeshwa kazi kwa kutumia muda mwingi kutekeleza azma tajwa.........

kwa lugha nyingine mwindaji hugeuka kuwa mwindwa.....................hata ukifanikiwa katika lengo la kumkomoa mlengwa wako bado utajiona una pengo la kutaka kumkamua zaidi.........................kwa sababu hata ile adhabu utakayomtwisha mlengwa wako bado utaoana haitoshi................ungelipendelea kumwongezea nyingine.............................

lakini kumezea pamoja na kuonekana kuwa ni udhaifu hukuondolea kifungo cha kumfuatilia mlengwa wako na kukufanya uwe huru......................huhitaji kujua anafanya nini wala huguswi na nyendo zake kwa sababu umemsamehe bila hata ya kusubiri kuombwa msamaha..........................................na uhuru tajwa wakuwezesha kuendelea na shughuli zako bila kukosa usingizi au zengwe la aina yoyote ile......................................................

makala hii imehamasishwa na msamaha ambao jerry Muro aliutoa kwa wote ambao walinuia mabaya yamkumbe wawe ndani au nje ya dola.........................................kwa maoni yangu Muro kajipatia uhuru wake na hivyo sasa hahitaji kujua maadui zake wanafanya nini......................ili akawaonyeshe kazi..........................................he just moves on with his life after all the trouble real and imaginary walizomletea........hongera sana muro kwa kutachia urithi huu ambao ndiyo dhana nzima ya uafrika.........................kumbuka kenyatta na mandela baada ya kutoka kwenye vifungo vyao walisema.........................."forgive and forget"..................hawakusubiri waombwe msamaha...............they just moved on..............................what a lesson to all of us??????????????????
 
Ruta, ungepunguza hiyo midoti doti ingependeza zaidi.

siwezi..................hiyo ndiyo staili yangu ya uandishi....................tujifunze kuzoea staili mbalimbali za uandishi............lengo ni kufupisha na kukuonyesha kuwa lengo tajwa..........................
 
siwezi..................hiyo ndiyo staili yangu ya uandishi....................tujifunze kuzoea staili mbalimbali za uandishi............lengo ni kufupisha na kukuonyesha kuwa lengo tajwa..........................

Heheheheee haya bana. Hamna neno.
 
Back
Top Bottom