FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Kuna Binti hapa kaniacha hoi mie labda na nyie atawashangaza .
Huu ni mwaka wa pili sasa yuko kwenye hiyo secret admirer na kaka mmoja.
Kila siku binti anategeshea amuone huyu kaka ndo apande gari aliyopo,Lunch time anategea mida ya huyo kaka kwenda lunch ndiona yeye anaenda amekuwa kama mtumwa wa penzi na kusema hawezi.
Cha kushangaza jana tumeenda kwenye Party moja,,,, Binti akiwa anaenda Toilet kamkuta huyo secret admirer wake amekumbatiana na mdada mmoja wa haja wanakiss
Kaja kuniaga huku anabubujikwa chozi eti anaenda home hawezi kuendelea na partyl,leo hajafika kazini namuuliza kulikoni kanipa mkasa kamili...
Kumwambia amesema hawezi tena sasa anauguza majeraha ya mapenzi
Hii imekaaje wadau?
:A S 39::A S 39:
Huu ni mwaka wa pili sasa yuko kwenye hiyo secret admirer na kaka mmoja.
Kila siku binti anategeshea amuone huyu kaka ndo apande gari aliyopo,Lunch time anategea mida ya huyo kaka kwenda lunch ndiona yeye anaenda amekuwa kama mtumwa wa penzi na kusema hawezi.
Cha kushangaza jana tumeenda kwenye Party moja,,,, Binti akiwa anaenda Toilet kamkuta huyo secret admirer wake amekumbatiana na mdada mmoja wa haja wanakiss
Kaja kuniaga huku anabubujikwa chozi eti anaenda home hawezi kuendelea na partyl,leo hajafika kazini namuuliza kulikoni kanipa mkasa kamili...
Kumwambia amesema hawezi tena sasa anauguza majeraha ya mapenzi
Hii imekaaje wadau?
:A S 39::A S 39: