Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
Ni rahisi sana kwa baadhi ya watu kuwatumia wenzao kupata yale wanayotaka bila kujali hisia za wanaowatumia. Unakuta mtu anamwaminisha mwenzake anampenda kweli ,wengine hufikia hata hatua ya kutangaza ndoa ili kujiweka sawa kiuchumi, kielimu, kijamii, kupata makaratasi na visa kwa wale wanaotaka nafasi za kuishi nje ya nchi, kujiridhisha kimwili n.k. Wakishapata walichokua wanataka haoo wanaondoka zao.
Swali. . . .
Je ukikutuna na mtu ambae. . .
..Amewahi kuolewa kwaajili ya pesa na zilipoisha alimkimbia mwenzake.
..Amewahi kutembea na msichana akakimbia baada ya kumpa mimba.
..Amewahi kuoa/olewa/ishi mtu kwaajili ya makaratasi akamwacha solemba baada kuyapata.
..Amewahi kuvunja ndoa ya mtu mwingine ili amfaidi huyo aliyeoa/olewa mwenyewe.
na mengine kama hayo. . . UTAWEZA KUANZISHA MAHUSIANO NA HUYO MTU BILA KUA NA WASIWASI KWAMBA HATA WEWE UNAWEZA UKAWA SEHEMU YA KUPATA MAHITAJI YAKE NA SIO ANAKUPENDA KWELI?Unaweza ukaamini kwamba hisia zake ni za kweli japo kuna mwenzako aliwahi kuamini hivyo akajikuta ametumiwa na kuachwa solemba?
Swali. . . .
Je ukikutuna na mtu ambae. . .
..Amewahi kuolewa kwaajili ya pesa na zilipoisha alimkimbia mwenzake.
..Amewahi kutembea na msichana akakimbia baada ya kumpa mimba.
..Amewahi kuoa/olewa/ishi mtu kwaajili ya makaratasi akamwacha solemba baada kuyapata.
..Amewahi kuvunja ndoa ya mtu mwingine ili amfaidi huyo aliyeoa/olewa mwenyewe.
na mengine kama hayo. . . UTAWEZA KUANZISHA MAHUSIANO NA HUYO MTU BILA KUA NA WASIWASI KWAMBA HATA WEWE UNAWEZA UKAWA SEHEMU YA KUPATA MAHITAJI YAKE NA SIO ANAKUPENDA KWELI?Unaweza ukaamini kwamba hisia zake ni za kweli japo kuna mwenzako aliwahi kuamini hivyo akajikuta ametumiwa na kuachwa solemba?