wewe umetoka kibada ee?hiyo si salamu tuWa Alykum salaaam.We
Sa mzee kwani ilikuwa aje mpaa ukaja salimia ki uislam? Yani wale waislam ndo wanatoka nje ya ndoa?
Mimi najua wanao toka nje ya ndoa hawana dini...Sii waislamu wala si wakristo....
Next time kabla hujaibuka na topic kama hii hapa...Fikiria una-andiika nini mana unaweza kuwasha moto hapa JF.
Peace.
Dogo wacha kujifanya unajua sana-wewe rekebisha makosa yako-next time usitumie Asalam alykum wakati unaleta uhuni wako...wewe umetoka kibada ee?hiyo si salamu tu
Dogo wacha kujifanya unajua sana-wewe rekebisha makosa yako-next time usitumie Asalam alykum wakati unaleta uhuni wako...
Haya siku njema haina haja ya ugomvi hapa.
Mkuu na sisi hatujaoa tupo kwenye mahusiano,lakini tumechepuka kidogo nje? Hunatupa nini kaka?naona nyumba ndogo zinasali na kusali tar 31 mvua imwagike watu waishie kulala lodge kisa madaraja yamevunjika
nanyi nawapa asslaaam alheikhum maana tmi bado wamengangania inanyesha mpaka jan 2 ,maana mwakampya akuna mwanammke mwenye mume atakaemwachia mumewe aishie na mwenzake fanya yooooote mwisho wa mwaka awakuachi hilo ulijue we mzee wa nyumba ndogo jan 1 lazima uamke na ya nyumbani
na wewe nakupa assalam alheikum
Mkuu we umejiombea? Sir God kasemaje kuhusu wew! Ha ha ha haaaa!!!Shhh! Hebu tulia! Usione niko kimya naongea na Mungu kumbembeleza akusamehe ili upenye hadi januari ila inakuwa ngumu! Madhambi yako yamejaa tele! Sijui itakuwaje!
Mkuu we umejiombea? Sir God kasemaje kuhusu wew! Ha ha ha haaaa!!!
Wa Alykum salaaam.
Sa mzee kwani ilikuwa aje mpaa ukaja salimia ki uislam? Yani wale waislam ndo wanatoka nje ya ndoa?
Mimi najua wanao toka nje ya ndoa hawana dini...Sii waislamu wala si wakristo....
Next time kabla hujaibuka na topic kama hii hapa...Fikiria una-andiika nini mana unaweza kuwasha moto hapa JF.
Peace.
unaogopa kutaja jina la guest unaibatiza bar
sema tu sukuma hapa pale mapambano mpwa awaji ni wachache wenye kuvumilia shuka chafu kama zile
Hahaha ngojea niende hospitali basi....Ucjali nilidhani wewe ndo mtoa mada, mana ulinivamia wakati namsemesha mtoa mada.We unaumwa eee?kwani mimi ndo nimeazisha hiyo mada
Dogo wacha kujifanya unajua sana-wewe rekebisha makosa yako-next time usitumie Asalam alykum wakati unaleta uhuni wako...
Haya siku njema haina haja ya ugomvi hapa.