Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hili neno au hii habari inasemwa sana mitaani, kwamba mwanaume atakaemvunja bikira mwanamke husika. Inasemwa mwanamke huyo hatomsahau milele! Na hata ipite miaka mingapi na yuko katika mahusiano...
0 Reactions
69 Replies
15K Views
HOW TO MAKE LOVE WITH A WOMAN ( KWA WALIO OA TUU) One of the biggest problems men face is knowing how to make love to a woman! Unfortunately what commonly happens is men get their sexual advice...
4 Reactions
54 Replies
6K Views
Wana JF, Heri ya mwaka mpya 2012. Wakristo wanaamini katika ndoa ya mke mmoja mme mmoja. Waislam wanaamini katika ndoa ya wake wengi yaani mme mmoja wake wengi (wasiozidi wanne), hizi zote ni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Taarifa hii niliikuta inaishia lakini nilibahatika kupata kujua kilichotokea,ila sikujua eneo unyama huu,kuna mwanamke amemnyonga mwanae baada ya baba wa mtoto huyo kumkataa huyo mtoto kuwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mkasa huu ulinipata Mwaka 1999, nakumbuka nilikuwa katika kuhangaika kutafuta kibarua, nilijikuta nikiwa kwenye ofisi moja ya jamaa yake kaka. Nilifika hapo baada ya kaka yangu kuzungumza na huyo...
6 Reactions
84 Replies
15K Views
Je nikweli ukitoka nje ya ndoa yako basi nawewe ujue kuna wanaotoka na mkeo/mumeo??Kama nihivyo basi wanawake ndo wakulaumiwa kwa hili kwakuwa wao ndo wanaotengeneza huu mzunguko!!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
1.) Fine : This is the word women use to end an argument when they are right and you need to shut up. 2.) Five Minutes : If she is getting dressed, this means a half an hour. Five minutes is...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wewe kaka Benard umeoa ila mkeo anasoma chuo kimoja mkoani. Nyumba unayoishi ni apartment ambayo upande wa pili unashea na dada mmoja ambaye kama bahati mnafanya kazi pamoja na hata wakati wa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jana ilikuwa ni siku ya mwisho kwa dada yetu mpendwa kuwa naye hapa Ulimwenguni baada ya miaka zaidi ya 20 ya mateso makubwa ya kimwili na kisaikolojia. Miaka zaidi 20 iliyopita dada huyu alikuwa...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Salaam wandugu, nina shosti wangu ambae anatafuta mchumba/mume.alikuwa masomoni kwa kipindi kirefu na amejikuta amemalizia muda wake mwingi masomoni na umri ukiwa umeenda sana.anapendelea mwanamme...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani wana JF hivi mnalizungumziaje swala la wapendanao kuwa na dini tofauti?linamadhara gani?faida yake je?vipi kuhusu wazazi kama hawabariki swala hilo ni uamuzi gani unafaa?dini je? nisaidieni...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Kuna mwanamke nimemuowa ananiumiza kichwa sana , eti anataka kwa kila jambo afanyalo kwangu antaka apewe pesa hiyo achilia mbalin malupu lupu mengi ne mbali na mshahara wa mwezi. nimejitahidi...
1 Reactions
49 Replies
4K Views
Leo nawaletea wenye majina William(Bill ni kifupi chake)Peter na Robert(Bob ni kifupi chake)Watu wenye majina haya wana sifa kuu zifuatazo,kwanza ni watu wenye mafanikio,pia wengi wao ni...
2 Reactions
66 Replies
5K Views
Mwenzenu sijui nini mimi nikiona Wamama hakili inahama!mimi watoto chini ya miaka20 sina hobi nao, mimi mijimama wawe umri wa 40 na amezaa kama mara 3 basi kwangu brudani.
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Paranoia ni kitendo cha mtu kuwa na tabia ya kuwa na wasiwasi,hofu, shaka, na kutoamini mtu mwingine bila sababu ya msingi/ushahidi. Na mara nyingi hua inasukumwa na wivu uliopitiliza kiasi pia...
10 Reactions
55 Replies
5K Views
habari wana jf ,jamani kuna issue imemtokea my friend ila kaniomba ushauri afanyaje nikaamua kuleta jamvini kabla cjampa ushauri.Ni hivi huyo rafiki yangu ana BF ambae walianza uhusiano ka miezi...
0 Reactions
77 Replies
8K Views
Mi ni raia wa kawaida! Nina ndoto ya siku nyingi kuja kuoa mwanamke ambaye ni mwanajeshi. Umri wake usizidi miaka 26, awe tayari kuwa mke mwenye maadili ya kitanzania. Habari za sifa sifa na...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Some of the most significant messages people deliver to one another often come in just three words. When spoken or conveyed, those statements have the power to forge new friendships, deepen old...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima yenu wakuu. Mimi nmechunguza sana tabia za hawa wakina mama wa kitanzania, hawapendi kujulikana kama wamezaa. unakuta hata akitaka kutoka hawezi kubeba mwanae sana sana atambebesha...
0 Reactions
43 Replies
10K Views
Wengine hunyoa wengine hufuga..........je zina umuhimu wowote ule? Hizi ni baadhi ya styles
0 Reactions
87 Replies
16K Views
Back
Top Bottom