Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Mi ni raia wa kawaida! Nina ndoto ya siku nyingi kuja kuoa mwanamke ambaye ni mwanajeshi. Umri wake usizidi miaka 26, awe tayari kuwa mke mwenye maadili ya kitanzania.
Habari za sifa sifa na amri za kina waitara, mwita chacha au marwa sizitaki.
Elimu iwe kuanzia kidato cha sita, hapo najua kidogo utakuwa ni open minded.
Aliye serious naomba ani pm ili tuanze kufahamiana. Asanteni
Habari za sifa sifa na amri za kina waitara, mwita chacha au marwa sizitaki.
Elimu iwe kuanzia kidato cha sita, hapo najua kidogo utakuwa ni open minded.
Aliye serious naomba ani pm ili tuanze kufahamiana. Asanteni