Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Ni mara nyingi tumekuwa tukisikia kuwa "mwanamke akipenda huwa kapenda kweli". Je, wanaume tusubiri kupendwa ili tuepuke kuumia au tuendelee kupenda na tukubaliane na hali halisi iliyopo (maumivu)?
Hapa hata sielewi ila mtu akiwa anakupenda halafu wewe humpendi ni maumivu vilevile.
hivi haya mambo ya kupenda au kupendwa hivi yapo kweli siku hz au mnazungumzia tamthilia hapa...
Kw kuanzia ni heri upendwe kwani with time nawe unaweza ukajifunza kumpenda akupendae hala mkajikuta wote mnapendana