habari wanajf na hongereni kwa juhudi za kuelimishana,
kama miezi mitatu iliyopita nilikuta post huku jamaa moja akilalamika kuwa mpenzi wake ni wa baridi yaani wakianza ule mchezo hahisi joto lolote kutoka kwenye tamu, nikachukulia mzaa but katika zungumza zungumza na washaji mbalimbali akajitokeza mshakaji na kufunguka kuwa yeye alipatwa na mkasa kama huo pia demu moja naye amesema kuwa kaachwa na jamaa yake coz of dat,nilipowauliza mshaenda kwa doctor wote wamesema kuwa wanaogopa kueleza suala hilo kama ilivyo ada mficha uchi hazai nimefunguka humu ili mnijuze
kama miezi mitatu iliyopita nilikuta post huku jamaa moja akilalamika kuwa mpenzi wake ni wa baridi yaani wakianza ule mchezo hahisi joto lolote kutoka kwenye tamu, nikachukulia mzaa but katika zungumza zungumza na washaji mbalimbali akajitokeza mshakaji na kufunguka kuwa yeye alipatwa na mkasa kama huo pia demu moja naye amesema kuwa kaachwa na jamaa yake coz of dat,nilipowauliza mshaenda kwa doctor wote wamesema kuwa wanaogopa kueleza suala hilo kama ilivyo ada mficha uchi hazai nimefunguka humu ili mnijuze