badilisha heading; inajicontradict!
Sasa cha ajabu nini, unataka muwe maadui?
anza hivyo hivyo huko mbele kitu kitajipa
Kama hataki si basi kwani yuko peke yake duniani? Usimlazimishe anakueleza kiungwana kua anamtu sasa Kama unajidai hushiki metre nenda akakumalizie senti zako halafu uje tena kulalamika..
Andika vizuri jf huchajiwi hata mia.sio tue maadui, me nataka iwe hivi 2kikutana 2peane hii 2 bt yeye akiwa na mm anaprettend kama ni wapenzi
nielewe vizuri ye hana m2 bt tatizo ananichoresha mbele ya friends zangu jinc anavyo act kama wapenzi
Mwee Lizzy
anakusaidia kuuza naye sura.
Nwy, hii huwa ni staili ya wadada kujiprotect na mavampaya ya mujini. Anajidai ni wapenzi wakati sio.
Hutaki sasa?
mnataka tuwafundishe kutongoza!!??
Ngoja niwe mwanaume