dijly4
Member
- Sep 11, 2011
- 26
- 9
Hivi majuzi tu nilitoke kukutana na msichana mmoja ktk eneo langu la kazi, ktk kushare some ideas nikagundua huyu mdada alitokea kunipenda/kunitamani.
1day tukiwa duka la jirani na offiisini huyu mdada aliagiza nguo ya ndani toka pale dukani then akataka nimlipie, kwa kuwa niliona ni kama kuweka mahusiano yangu na mpenzi wangu pale atakapogundua nimefikia hatua ya kumnunulia nguo ya ndani msichana mwingine, basi kwa kulitambua hilo nikaamua kumpa ukweli yule mwanadada kuwa ktk urafiki wetu tusije tukavuka mipaka kani ninaye mpenzi na ninamueshimu sana.
Kwa kweli hii kauli ilimkera sana yule mdada kwani tokea pale hataki kuongea na mm hata salamu tu imekuwa ngumu, so ths gave me the bravery to conclude that, ''SOMETIMES TELLING THE WHOLE TRUTH MAY NOT BE AS IMPORTANT AS KEEPING CERTAIN SECRETS WELL HIDDEN"
1day tukiwa duka la jirani na offiisini huyu mdada aliagiza nguo ya ndani toka pale dukani then akataka nimlipie, kwa kuwa niliona ni kama kuweka mahusiano yangu na mpenzi wangu pale atakapogundua nimefikia hatua ya kumnunulia nguo ya ndani msichana mwingine, basi kwa kulitambua hilo nikaamua kumpa ukweli yule mwanadada kuwa ktk urafiki wetu tusije tukavuka mipaka kani ninaye mpenzi na ninamueshimu sana.
Kwa kweli hii kauli ilimkera sana yule mdada kwani tokea pale hataki kuongea na mm hata salamu tu imekuwa ngumu, so ths gave me the bravery to conclude that, ''SOMETIMES TELLING THE WHOLE TRUTH MAY NOT BE AS IMPORTANT AS KEEPING CERTAIN SECRETS WELL HIDDEN"