ushawahi kupigwa na mkeo/gf wako? How did you react? Ulilipiza?uliuchuna? Ulimfungulia RB?uliita kikao cha wazazi? Ulifanya nini?
Ninalogoff maana leo nimetendwa and i just can't take it na aliyenitenda bahati mbaya yuko humu humu jf.
ushawahi kupigwa na mkeo/gf wako? How did you react? Ulilipiza?uliuchuna? Ulimfungulia RB?uliita kikao cha wazazi? Ulifanya nini?
Ninalogoff maana leo nimetendwa and i just can't take it na aliyenitenda bahati mbaya yuko humu humu jf.
njoo uwe mweka hazina
wa chama cha wanamme wanaopigwa na wake zao Tanzania
mie nilishazoea, huwa nalia kama mkata kiu
yanaisha.
Na wewe Michelle OUT!!!!Tukiwezeshwa tunaweza,na tusipowezeshwa tunaweza hata kwa kupitia keyboard....kafungue kesi uone TAWLA tutakachokufanya!
Utulie hivyo hvyo,loh Bishanga sikujua waweza kuwa mdogo ka piriton....lol...tajiri la kihaya hilo!
mwanamke kupigwa au mwaaume kupigwa hii kitu mbaya sana..
Mwanamke akipigwa wengi wataandika kila sheria itakayomsaidia
Mwanaume akipigwa inachukuliwa mzaha mzaha tu....
Lizzy get out of my way kabla sijakupa za uso!
Na wewe Michelle OUT!!!!
Ndiyo ukweli huo AD,
A man biting a dog is a big news..it deserves a front page...
Kinyuma chake hakuna kitu hapo...just another incidence!!
Babu DC!!
NA we we kongosho,I don't care whether ni mdume au mdada just Fu....off!
Mbegu ya "mwanaume hapigwi na mwanmke na akipigwa ni aibu kwake" ilioteshwa zamani na sasa imekomaa. Huwezi ukategemea mambo yabadilike just like that. . inabidi mfanye kazi kuing'oa.
NA we we kongosho,I don't care whether ni mdume au mdada just Fu....off!