Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Mamboz wanajamvi... Huu uzi nimeupata kwenye forum moja hivi nikaona ni bora tushee wote ili tuone imekaaje. Kuna walicomment kwamba kuwa na mtoto kabla ndoa ni u.m.a.l.a.y.a. Samahani kwa nitakaowakwaza kwani nimekocpy tu toka huko.
Hili suala kwenu ninyi Gret Thinkers imalionaje? Make kuna wengine wanaamua kabisa kuwa na mtoto kabla ya ndoa na wengine ni bahati mbaya, wengine walibakwa na vitu kama hivo! Hebu tuendelee
Hili suala kwenu ninyi Gret Thinkers imalionaje? Make kuna wengine wanaamua kabisa kuwa na mtoto kabla ya ndoa na wengine ni bahati mbaya, wengine walibakwa na vitu kama hivo! Hebu tuendelee