The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Zamani saana nilikuwa natazama sana filam za kihindi.....
filam hizi zilikuwa na mambo meengi mno yanayofanana na maisha yetu ya kitanzania
na mafunzo tele....
sasa kuna filam moja naikumbuka kila siku......
askari mmoja akiwa katika katika pita pita zake mitaani
alisikia kelele za mwizi mwizii...akageuka akaona kijana anakimbia mbio...
akaanza kumkimbiza huku akimwambia yule kijana kusimama...kijana hakusimama...
akampiga risasi bahati mbaya ikamua yule kijana pale pale...
askari alikwenda kuona ni nini yule kijana alichoiba akakuta kijana kumbe ameiba chapati....
akajisikia vibaya mno na hasira saana...,mwisho akajua kuwa yule kijana ana mama yake mzee
ambae ndo alikuwa anamtegemea yule kijana...akazidi kujisikia vibaya mno...
mwisho akanunua kama chapati kumi akaenda kumpelekea yule mama wa yule kijana
na kumuomba msamaha kwa kumuua kijana wake kwa wizi wa chapati.....
yule mama aliongea kitu ambacho sijasahu ile filam mpaka leo...
akasema akimwambia yule askari...usijisikie vibaya...kwa yaliyotokea....wewe umefanya kazi yako
yeye angekuwa ananipenda na kunisikiliza mama yake asingekwenda kuiba...
wizi ni wizi tu hakuna wizi mdogo wala mkubwa.....wote tunapaswa kuwa raia wema........
wewe huna ulilokosea.....yeye alikuwa mwizi na yaliyomkuta ni sahihi kwa mwizi yeyote..
angenipenda kweli mama yake angekwenda kutafuta kazi akapata kipato cha jasho lake..
na sio kuiba......sijaisahau hiyo filam mpaka leo....
sasa siku hizi kwa watanzania weengi kumezuka mbio za kutafuta elimu by any means neccessary..
kwa wasichana wako tayari kujiuza eti ili wapate elimu...
kutembea na walimu au wakuu wa vyuo imekuwa kawaida mradi tu wapate hiyo elimu...
sasa swali ni hili hiyo elimu ina faida kweli kama umeipata kwa njia chafu?????
nini maana ya elimu kama haiwezi kukuonesha ubaya wa unachokifanya?????????
filam hizi zilikuwa na mambo meengi mno yanayofanana na maisha yetu ya kitanzania
na mafunzo tele....
sasa kuna filam moja naikumbuka kila siku......
askari mmoja akiwa katika katika pita pita zake mitaani
alisikia kelele za mwizi mwizii...akageuka akaona kijana anakimbia mbio...
akaanza kumkimbiza huku akimwambia yule kijana kusimama...kijana hakusimama...
akampiga risasi bahati mbaya ikamua yule kijana pale pale...
askari alikwenda kuona ni nini yule kijana alichoiba akakuta kijana kumbe ameiba chapati....
akajisikia vibaya mno na hasira saana...,mwisho akajua kuwa yule kijana ana mama yake mzee
ambae ndo alikuwa anamtegemea yule kijana...akazidi kujisikia vibaya mno...
mwisho akanunua kama chapati kumi akaenda kumpelekea yule mama wa yule kijana
na kumuomba msamaha kwa kumuua kijana wake kwa wizi wa chapati.....
yule mama aliongea kitu ambacho sijasahu ile filam mpaka leo...
akasema akimwambia yule askari...usijisikie vibaya...kwa yaliyotokea....wewe umefanya kazi yako
yeye angekuwa ananipenda na kunisikiliza mama yake asingekwenda kuiba...
wizi ni wizi tu hakuna wizi mdogo wala mkubwa.....wote tunapaswa kuwa raia wema........
wewe huna ulilokosea.....yeye alikuwa mwizi na yaliyomkuta ni sahihi kwa mwizi yeyote..
angenipenda kweli mama yake angekwenda kutafuta kazi akapata kipato cha jasho lake..
na sio kuiba......sijaisahau hiyo filam mpaka leo....
sasa siku hizi kwa watanzania weengi kumezuka mbio za kutafuta elimu by any means neccessary..
kwa wasichana wako tayari kujiuza eti ili wapate elimu...
kutembea na walimu au wakuu wa vyuo imekuwa kawaida mradi tu wapate hiyo elimu...
sasa swali ni hili hiyo elimu ina faida kweli kama umeipata kwa njia chafu?????
nini maana ya elimu kama haiwezi kukuonesha ubaya wa unachokifanya?????????