Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

The subject of my obsession doesn’t have a clue She’s probably somewhere now, not knowing what I’m going through Every breath that comes in me carries her scent Every breath coming out has her...
6 Reactions
130 Replies
8K Views
niaje wakuu,kuna kitu nimekumbukaaa ningependa to share ideas,do u remember you first kiss....achana na lilee la kwanza kabisaa kwa mamaa alie kuzaa,la kimahaba zaidi,mi nakumbukaa my first kiss...
0 Reactions
77 Replies
6K Views
Nilikuwa nasikia kuwa mapenz yanaumiza!! Sasa nimeona na nimeumia, cha kufanya ni nini? Nisipende tena au nitafute mwingine?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani salama, Kwasisi ambao tumeoa/kuolewa sometimes zile vurugu match za nyumbani kweli unahitaji mbadala ili kidogooooooooooo kushusha ka pressure kako. JE kwa wanaume mbadala ni kutafuta...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Florence Majani UTAFTI mpya umebaini kuwa nusu ya wanaume nchini ni wagumba ukipingana madai ya wengi kuwa tatizo hilo linawaathiri zaidi wanawake.Kwa mujibu wa utafiti huo, uliofanywa na Chuo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Sometime inakua ngumu sana kumwambia mtu afanye nini ili apendeze Haswa pale anapokua kajiremba na kwa mtazamo wake yuko "smart" japokua kwa mtazamo wa wengi sio. Hivi unaweza vipi kujiweka smart...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
asalaam wanajamvi. Jamani nilianza mahusiano mwezi wa tisa na mkaka mmoja ambae tulifahamiana toka 2008, alionekana ni mkaka mpole na anaejali mpk nikaamua kujitosa kwake kama mpenzi wangu. B4...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
naishukuru sana jf na zaidi zaidi jukwaa hili. Nashukuru sababu jf imenisidia kupata mke na tunatarajia kupata tunda letu la ndoa hivi kalibuni. Sasa kwa kutoa shukrani na kumbukumbu ya kumpa jina...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Inafahamika kuwa linapokuja suala la uimara na ubovu wa ndoa,kufu au kudumu kwa ndoa wanawake mara nyingi ndo wanakua na nguvu sana,sisi wanaume hapa hatuna ubavu.Hivyo basi mwanamke akiwa...
2 Reactions
75 Replies
6K Views
Dear Miss Judith, Nimesukumwa na upendo mwingi wa dhati uliojaa furaha kukuandikia waraka huu mfupi kukupongeza na kukutakia heri ktk maisha yako mapya ya ndoa unayokaribia kuyaanza hivi...
5 Reactions
40 Replies
5K Views
tafakari ijumaaa kareeem wana jf
0 Reactions
21 Replies
3K Views
i couldn't forget my first love that i didn't seen for 9 years since i was child and i can't fall in love again if there is any psycologiste help me
0 Reactions
11 Replies
2K Views
male and female. Age 36-45. Just for company na kubadilishana mawazo. Pm is allowable
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Ninapoona jinsi wakina dada zetu walivyogundua jinsi ya kutuondoa stress za ugumu wa uchumi kwa kuyabana na kuachia nje machakula yaa watoto. duh mwenzenu huwa napenda sana na nikikutana na mdada...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika mahusiano zile nafasi watu wanazokua nazo (mchumba,mpenzi,mke,mume) hua zina kutambulika ama kutotambulika, kukubalika ama kutokubalika, kupendwa ama kutokupendwa n.k Hayo ndio hua...
2 Reactions
119 Replies
6K Views
Wakuu, heshima mbele, Najuta sana kumtafuta partner humu JF yani pamejaa usanii hapa usipokuwa mjanja kama mimi unalizwa hivi hivi unajiona. Kipindi kile nilikuja na swala la kutafuta mchumba...
14 Reactions
153 Replies
13K Views
Natafuta mwanamke ambaye tutakuwa na uhusino wa siri. awe na umri kuanzia miaka 20-45. mwembamba au mnene. lakini ambaye anajiheshimu na kuheshimu uamuzi wangu wa kufanya uhusiano wa siri na si...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Najua mwezi uliopita ulikua ni mwezi wa majukumu_kwa maana hiyo mifuko kidogo imepwaya,...ila si vibaya tukitakiana week end safi. Week_end njema wakuu.
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Wakati huu wa sikukuu ya wapendanao mambo mengi hutokea. Mapenzi mapya huzaliwa, wapenzi wa zamani hugombana ma wengine husameheana. Kwa siku kumi na tano TAYOA itakuwa ikikupa namna nzuri na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom