Hbr wana jf,nimepata msiba.Baba yangu mkubwa amefariki usiku wa kuamkia leo.Kwa wale wenyeji wa nzega mnaweza kuwa mnafahamu,alikuwa bwana afya ktk hospitali ya wilaya.
IN CHURCH sisters are complaining the brothers are boring, out there Women claim the men are irresponsible and non committal.
College girls say their fellow men are broke and young, in offices...
Kila mmoja wetu anajua nini anachohitaji kwenye mahusiano na kinapokosekana ama kuwepo zaidi ya alichotaka anaweza akavunja mahusiano hayo.
Kuna watu wanaopenda kuwa na 'YES' kinda man/woman. ...
Ebana,kuna mtoto nimempata hapa chuo,ye kwao ni hapa hapa dsm,sa kanambia ka nataka kumbanjua bac nitafute sehemu ambayo iko nje kdogo ya mji,so wakuu mnaoijua dar vzr, ebu nipeni mwongozo,ni...
Juzi tulikuwa sehemu na mada hii ikaibuka! Vipi mwanamke aliyeolewa avae vipi? Huyu dada aliyepekea hoja ianze ni mnene asiye na upungufu wa nyama mwilini! Bantu haswa! Lakini kavaa 'skini taiti'...
kuna binti nilimtokea na alikubali kuwa mchumba wangu. Baada ya mwezi mmoja iv nilienda kumtembelea kwao na kumkuta akiwatukana wazaz wake livelive, kuanzia siku hiyo mayon mwangu nilimtoa kabisa...
salaam,
nahitaji mchumba/mke
anayejiheshimu/muaminifu
mpenda maendeleo.
we can opt for ndoa ya serikali if islam
mmi ni mkristo safi, 30 years,umri wake uzingatie hili
frangerry1@gmail.com
Kila unavyopata elimu kuhusu jambo fulani, kiwango chako cha uelewa kinakuwa juu kuliko,
Yapo mambo ingawa unayajua kabisa lakini huyapi kipaumbele kutokana na mazoea.
Katika mapenzi swala...
Mapenzi asili yake ni upendo,
kupenda sio dhambi hata rais anajua kupenda, Tunapopendana Mungu anatupenda zaidi
lakini wengi tunaharibu upendo kwa kukosa umakini. Upendo unatakiwa kubaki upendo...
Leo hii ndoa nyingi sana zimeingiliwa na kujihami kwa aina mbalimbali, lakini aina kubwa au inayofanywa sana ni ile ya kuhamisha (Displacement). Kwa mfano, mabosi wetu wanapotuudhi ofisini...
Habari zenu Wana Jf
Hayo maneno (Ikimegwa haifanyi alama) nimepewa na mpenzi wangu ambaye nimemgaramikia kwa mambo mengi
na nilikuwa na mipango mingi sana juu yake.
Baada ya kumwambia asivae...
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani,shirika la utangazaji la bbc limemkariri mwanamke katika moja ya maadhimisho hayo mjini Kampala nchini Uganda akiwahimiza wenzake kudai haki ya...
kuwa handsome kweli shida.napata shida sana na hata wakati mwingine siaminiki tena.Jamani nisaidieni niwaelezeje hawa wadada kuwa mie sitaki labda urafiki wakawaida tuuu.Natamani hata nijipake...
Nna boyfriend ambae baadae natarajia kua mme wangu mtarajiwa,wakati ananapproach alniambia km alkua n demu lakini aliachana nae kwa bahati mbaya wakati wanaachana kumbe hyo msichana alikua na...
Tukiwa ndani ya gari (daladala-naomba msinizodoe jamani) kutoka nkuhungu kuja jamatini mjini dodoma, ghafla tukaona njemba inamshushia kipondo mpenzi wake. Ilibidi tusimame tukihofia huenda...
Ndugu wana JF, Leo ni siku ya kina mama. Nimeona tuangalie hii kitu ambayo hawa wanaharakati wa haki za wanawake wamekuwa wakiita "Mfumo Dume". Kwa maoni yangu;
Huu si mfumo kabisa - Ni social...