in reality hakuna msichana/mwanamke aliye single yan hana mtu. wachache sana ndo utawakuta wako alone. cha msing km unampenda mwanamke fulan na una malengo nae we funguka tu.smtime unawezakuta ana mtu ila hajielewi yuko position gani. c kila aliye ktk mahusiano anafurahia hayo mahusiano!