Erotica
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,513
- 1,735
Sina shida ya kumuwaza mtu kila mara sababu huwa nawaza watu 7 ama 8 kwa mpigo.
Yaani naweza mkumbuka mmoja kwa ucheshi, hapo hapo nikamkumbuka mwingine jinsi alivo handsam,
huku nikimkumbuka mwengine kwa utalaamu wake wa kunikuna n.k. Au wakati mwingine
naguswa moyoni hata mara 10 na watu 10 tofauti kwa siku, kutembelewa na watu kama 7 katika
ubongo wangu ama kama 13 rohoni kwangu.
Sasa ya leo kali, nina siku ya 4 namuwaza huyu mmoja tu! Sipendi na wala sijawahi maishani mwangu
kuwaza mtu mmoja, sioni mantiki na naona nikiwaza mmoja wengine nitawapoteza sababu huwa nakuwa
nao na kuwatafuta sababu nao nawawaza. Sasa amekuja huyu kawa king'ang'anizi ndani ya moyo wangu,
akiwa kama ganda kwenye ubongo wangu na kajenga kivuli cha muonekano wake machoni pangu.
Kila saa ni yeye hapishi wengine. Ananiboa na ananiharibia mood maeneo mengine ya mwili.
Na kubwa kuliko ananiharibia mipango yangu ya kuwa mama wa watoto mapacha.
Uzuri yupo hapa hapa jf kwahio msg sent! Kaka tafadhali nikome!
Kaunga my sweetest I need you now more than ever! wea ar u my love?
Nisaidieni wapendwa katika bwana, ni ugonjwa gani huu? mwenzenu Ero haujawahi nipata!
Dr. Mzizi Mkavu na wengineo msaada plz. Am I sick? Na kama naumwa dawa yake nini?
No mwaaaaah. I think am Sick.:A S cry:
Yaani naweza mkumbuka mmoja kwa ucheshi, hapo hapo nikamkumbuka mwingine jinsi alivo handsam,
huku nikimkumbuka mwengine kwa utalaamu wake wa kunikuna n.k. Au wakati mwingine
naguswa moyoni hata mara 10 na watu 10 tofauti kwa siku, kutembelewa na watu kama 7 katika
ubongo wangu ama kama 13 rohoni kwangu.
Sasa ya leo kali, nina siku ya 4 namuwaza huyu mmoja tu! Sipendi na wala sijawahi maishani mwangu
kuwaza mtu mmoja, sioni mantiki na naona nikiwaza mmoja wengine nitawapoteza sababu huwa nakuwa
nao na kuwatafuta sababu nao nawawaza. Sasa amekuja huyu kawa king'ang'anizi ndani ya moyo wangu,
akiwa kama ganda kwenye ubongo wangu na kajenga kivuli cha muonekano wake machoni pangu.
Kila saa ni yeye hapishi wengine. Ananiboa na ananiharibia mood maeneo mengine ya mwili.
Na kubwa kuliko ananiharibia mipango yangu ya kuwa mama wa watoto mapacha.
Uzuri yupo hapa hapa jf kwahio msg sent! Kaka tafadhali nikome!
Kaunga my sweetest I need you now more than ever! wea ar u my love?
Nisaidieni wapendwa katika bwana, ni ugonjwa gani huu? mwenzenu Ero haujawahi nipata!
Dr. Mzizi Mkavu na wengineo msaada plz. Am I sick? Na kama naumwa dawa yake nini?
No mwaaaaah. I think am Sick.:A S cry: