Muke ya mutu ni thumuuuuu jaribu
Aliyeuwawa ni huyu au huyo ni mwandishi tu wa hiyo habariHii nimeinyaka kwenye gazeti la 'mwananchi' la leo uk 11:
AUAWA BAADA YA KUFUMANIWA
Joseph Lyimo,Kiteto
mkazi wa kijiji cha Weza wilayani Kiteto mkoani Manyara ameuawa kwa kuchomwa visu mwili mzima baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.....
"The strong man is not the good wrestler; the strong man is only the one who controls himself when he is angry." (The Prophet Mohammad)
"To overcome evil with good is good, to resist evil by evil is evil." (The Prophet Mohammad)
Kung'ang'aniwa sio kubakwa. . .bado mtu anaweza kusema HAPANA.mtukomage kabisa.....tukiwaambia tuna watu wetu mnatung'ang'ania.....haya sasa.....
Lakini pamoja kujitambua kuwa mna wenyewe iweje mnakubali? Lengo ni nini kuua watu.mtukomage kabisa.....tukiwaambia tuna watu wetu mnatung'ang'ania.....haya sasa.....
Aliyeuwawa.Pole ya nani Lizzy
Ya aliyeuliwa (kwa kufumaniwa)
Au atakayenyongwa (kwa kosa la kuua)
Au la atakayebaki mjane? (Mke wa marehemu)
Au la atakayebaki mkiwa (Mke wa muuaji)