Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Kwa wale waliooa, kupata tendo la ndoa ni haki ya kimsingi! Ikitokea mwenzio hakupi haki hiyo, basi unawezakwenda mahakamani kudai haki yako!
Mahakama yaweza kufanya nini?
Kwanza itatamka wazi kuwa mdai ana haki ya kupatiwa tendo la ndoa.
Pili itatoa amri (Decree) kuwa anayelalamikiwa aanze kutoa haki hiyo kwa mwenzi wake!
Je ikitokea mdaiwa akagoma kutoa haki hiyo? Mahakama itamwamuru mdaiwa kulipa fidia kwa muda maalumu itakaoona unafaa!
Nakaribisha kama kuna swali tafadhali
Mahakama yaweza kufanya nini?
Kwanza itatamka wazi kuwa mdai ana haki ya kupatiwa tendo la ndoa.
Pili itatoa amri (Decree) kuwa anayelalamikiwa aanze kutoa haki hiyo kwa mwenzi wake!
Je ikitokea mdaiwa akagoma kutoa haki hiyo? Mahakama itamwamuru mdaiwa kulipa fidia kwa muda maalumu itakaoona unafaa!
Nakaribisha kama kuna swali tafadhali