Ndoa ni tendo na ni taasisi takatifu
Ndoa inahitaji kuvumiliana,kuheshimiana na kuthaminiana
Ndoa nyingi siku hizi zinakumbwa na migogoro isiyoisha.Baadhi ya ndoa wanandoa wakionekana kwa nje...
Wengi wetu wanaume hudhani kuwa hawa ni wadekaji na kulia kuko karibu sana zaidi ya meno na lip.... and thus they just use it to fake...but sometimes it work on contrary.
From my own woman, i...
Yaani mpenzi wako yuko nje ya nchi na daily tunawasiliana kwa siku,skype,or email or facebook sasa baada ya miezi mitatu karudi bongo ,sie tunaishi morogoro,nimempokea airport dar tukaona tuchukue...
Mwaka 2004 nilianza kazi nikiwa mwl wa shule ya msingi na 2005 nikaoa kwa ndoa ya kikristo kanisani.
Kabla ya mke wangu kuwanae tayari nilikuwa na mtoto 1 na mke wangu pia nikazaa nae mtoto...
Wanaume kuweni sana makini na nyumba ndogo mnajiachia sana sana kisa unajua ooonh kule ndo mapenzi yalipo nnapotea sana wewe mwanaume uliyeoa kwa ndoa either kanisani, msikitini, boman jichunge...
Akina mama wote popote mlipo duniani kupitia kwa mama yangu kipenzi Nyasaland ninawapeni SHIKAMOO yangu ya dhati. Natambua umuhimu wenu mkubwa na wajibu mlionao katika kutunza na kulea familia...
Jamani nilikuwa busy kidogo , nilitamani kuingia JF walau hata mara moja kwa siku, lakini sikupata nafasi,
Leo nimepata nafasi ya kuwasalimia, kuna PM nyingi tu nimezikuta zikiniuliza kwanini...
Mama mkwe amemshawishi mtoto wake aachane na mm na kumuambia km ataendelea kuishi na mimi atamuachia radhi mtoto wake nilipompigia cm mama mkwe akasema ndio nimemwambia nikamuuliza sababu gan...
Ukibisha ni kawaida tu kwani upo ubishi wa asili na sitokataa hoja zako ila nitazidi kujenga hoja tetezi za kuiimarisha hoja yangu kuu.
Mama ndiye mpenzi wa kwanza kabisa anayezitimiza haja zote...
Wadau naomba kuuliza, hivi ni kwanini mwanaume anasuka nywele?
Hivi inakuwaje mwanaume mzima na rijali unaenda saloon za kike na wewe unaweka kichwa mwanamke anakupumulia kisogoni?
Inawezekana...
Wanaume aliyeturoga kafa maana angekuwepo angetengua uchawi wake, haiwezekani mama yako aliyekuzaa kakulea,kakutunza vizuri unashindwa kumnunulia hata baiskeli lakini Mupenzi just mpenzi...
Japo ni ugonjwa na unatibika lakini huleta karaha mno kwa wapenzi na hii husababisha watu kutojiamini,
Kuna mahusiano yamevunjika kutokana na hili jambo ,mpenzi anataka akuchum lakini...
Salaam sana wanajamvi wenzangu.
Siku ya leo ndo yalinikuta, hadi nikajuta kutoka na mtoto wa watu.
Kama kawaida kula ujana na kupunguza stress tukaenda resort moja kwa ajili ya lodging...
Kuna mianaume inakuwa na tabia ya kukodolea hadi wanaume wenzao macho barabarani, unakuta unakatiza zako upo bize halafu unakuta jimwanaume limekaa mahali linakutolea mimacho! Maana yake ni nini...
Nime-face na deadly situation nimekua na my girl kwa muda wa miezi sita but now week tatu zimepita sijasex nae tatizo ni kwamba anaogopa since kasafishwa baada ya kupata miscarriage, nakaa nae...
Katika nyakati zetu za sasa ni vigumu sana kumpata mwanamke aliye mwema.
Moyoni mwangu nafikiri sana nionapo marafiki wangu jinsi walivyo salitiwa na wapenzi wao.
Nauliza nyinyi mlio oa na...
Dear Women,
There are no words to express your love and strengths. The way you stand vigilant and conquer obstacles of life is truly remarkable;
You get married and change your name and home...
Lipo jambo muhimu analopaswa kuzingatia kila aiye kwenye uhusiano ikiwa anataka kutosheka na penzi la mpenzi wake.
Kwanza ni lazima uitosheleze kwanza akili yako, lakini pili, unapaswa kuamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.