Habari za wakati huu wana MMU, nimekutana na hili sehemu mbili tofauti. Unakutana na mtu eneo fulani, tangia kupoteana yafika kama miaka 4 hamjaonana, tangia mko kijijini mlipotoka.
Unafurahi...
Habari za jumapili wanajamvi la MMU?
Huyu ni kaka yangu tumbo moja na aliyenilea na kunisomesha toka kidato cha kwanza mpaka cha nne ana mke na watoto watatu mmoja yuko form1 na wengine...
Habari wana jamvi?
Katika mahusiano kujuana vyema ni jambo la kawaida na raha sana, lakini je, unaweza mpenda mwenzi wako, kumzoea, kumjali n.k lakini ushindwe KUJAMBA MBELE YAKE?
watakaochukulia...
Habari zenu wakuu, Leo napenda kushare na nyinyi juu ya hili swala la lawama kwa pande zote mbili.
Siku hizi imezuka misemo utasikia eti "wanaume/wanawake walikuwa zamani bwana siku hizi hakuna...
Habar zenu wakuu.
Nimekuwa nikishangazwa na wana MMU wengi kuwa na tabia ya kutopuuzia thread yoyote inayowekwa kwa kuchangia tofauti na majukwaa mengine mnataka kuniambia ndo kukua kifkra?
Kwa kweli imebidi tu nije kulianzishia mada manake najiuliza sipati jibu kabisaaa!! But I don't intend to offend anybody!!
Kuna wadada wananichangazaga sana japo nakiri wazi ni very small...
Habari wadau..
Naona kelele za kuponda wadada wanapenda pesa nyingi na wahongaji wenyewe hawaonekani jinsi pilika zilivyo..
Maana nikiangalia mazingira yanayonizunguka kuanzia shule, chuo...
Habari
Nahitaji mwanamke mzuri, open minded na muaminifu tuwe partners katika mambo ya maisha tunayoendana lakini hasahasa kwa ajili ya kuridhishana kimwili na kuliwazana kama some sex, massage...
Habarini za mihangahiko wakubwa zangu najua wengi ni wakubwa kwangu waliomo humu ndani kwa hiyo naombeni mnisaidie Hili suala linalolisumbua sana akilini katika haya maisha kiasi cha kunipa...
Katika siku za hivi karibuni, tumeshuhudia
idadi kubwa ya wanawake wakitumia njia
mbalimbali kuhakikisha wanakuwa na makalio
makubwa. Wapo ambao wamekuwa wakitumia
dawa za Kichina licha ya...
Kuna watu bhana umewatongoza,wamekutosa,walijifanya njia panda sitaki nataka,msg hawajibu,WhatsApp hareply kama hawakujui,Facebook ndo hawakuoni.....yaani bwembwe za mwanzo wanareply,baada ya siku...
NAWAKUMBUSHA TU:
Kwa Mliokuwa na Mipango ya kuoana Mwaka huu;
ZIMEBAKI SIKU 14 TU
→Kama mliahidiana kwa bahati mbaya ni bora mkaambizana tu
→Kama hamjajiona mmetoshea maisha ya ndoa...
Katika jambo lolote unalofanya kwenye maisha, kuna watu watakuwa wanashindana na wewe, hata kama hawashindani wanajipanga kukushinda.
Kama unafanya biashara, wakati wewe unakazana usiku na mchana...
Nina umri wa miaka 28,mahusiano ya mapenzi nimeanza mwaka 2002 wakati huo nikiwa kidato cha kwanza,nakumbuka kufikia mwaka 2014 nilikuwa nimefanya mapenzi na wanawake wastani wa 15,mimi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.