Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.2K
Threads
7.5K
Posts
210.2K

JF Prefixes:

Kwa Wanaume tu wenye vibamia: Huu ni ushauri wangu kwa wanaume wote wenye tatizo la vibamia wanaoomba ushauri wa tatizo lao hapa jamvini. Nguo mnazovaa ndani zenye kubana ndiyo chanzo kikuu cha...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1. Grease - You’re the one that I want In this movie, as jam packed with musical hits as it is with tight leather and teenage hormones, the choice of song was a difficult one. Although there...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Naandika post hii nikiwa sijui pa kuanza, il a kwa kifupi tu, nimeanza maisha mapya ya kuwa single mother. Mimi na baba mtoto havijawork out kwa kweli na imenibidi nifanye maamuzi magumu. Ni...
4 Reactions
101 Replies
9K Views
Muda mwingi nilikua nikipita na kuchangia mada hapa MMU. Lakini sikuwahi kupost chochote. Hili la leo limeniuma sanaa.! Nina mpenzi wangu ambaye yuko chuo fulani hapa Dar lakini kutokana na...
9 Reactions
270 Replies
20K Views
Imetokea kwa baba yangu Mdogo, kwa sasa mtoto wake wa nje ya ndoa yuko mwaka wa pili Hapo UDSM lakini mkewe hajui.............. Si jambo zuri, hakika si jambo zuri, Lakini imeshatokea unafanyaje...
2 Reactions
102 Replies
6K Views
Nachukua fursa hii adhimu kuwajulisha kuwa yule kipenzi cha wengi Passion Lady amejaaliwa kumleta mwanaume wa shoka duniani. Niwapongeze wadada na wamama wote kwa niaba yake. Pia wakaka na wababa...
8 Reactions
227 Replies
12K Views
Hizi alama za love bite, boyfriend wangu anapenda sana kuniweka hata mimi pia nazipenda ila kuna wakati zinanikosesha raha hasa nikiwa kwenye mjumuiko wa watu tofauti tofauti, sijui ndo...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Yesterday evening, I saw a grown up man with beards run away from a young lady carrying a baby. Apparently the lady had brought the baby to it’s father and instead of the father hugging the little...
0 Reactions
1 Replies
660 Views
Mpenzi wa kizungu akikupigia simu usipopokea atakutext. "Honey whats wrong? Are you alright? I hope you are safe! Call me back ..I love you baby! Mpenzi wa kiafrika akikupigia usipopokea simu...
7 Reactions
61 Replies
9K Views
Hii ni kweli wana jf, Kati ya ma girlfriend wangu wote 10 niliowahi kuwa nao, wote walikua wakiniomba niwaoe. Lakini binafsi nimekua nikiwadanganya kuwa nitawaoa na najua fika kuwa sio kweli...
3 Reactions
55 Replies
5K Views
Ipi ipo poa mazee
0 Reactions
140 Replies
23K Views
Je ulishawahi kuambiwa hili Neno au huwa Unamwambia umpendae baada ya Kushuka mlima kilimanjaro "ASANTE" Binafsi huwa naambiwa ila sijawahi Kujibu huwa nakaa kimya tu. Sijui kwa nini *WIKEND...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Jamani hisia za kufanya sex zinapanda hadi najihofia na sipo tayari kufanya sex kwa sasa nifanyeje ili nipoe..!
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Baba mtoto alinitenda sn wkt mtoto ana miezi 4 alipofika miezi 9 nikaamua kuachana naye nikajianzia maisha yangu,leo mtoto ana miaka 2 na nusu anaomba msamaha turudiane. Ushauri plziiii!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna personality aina mbili ambazo binadamu tubaweza kuwa nazo. Unaweza kuwa introvert au extrovert (nimekosa neno la kiswahili). Introvert ni watu ambao mambo yao mengi wanapenda kuyafanya...
4 Reactions
33 Replies
7K Views
Kuna baadhi ya wanaume hawajui jinsi ya kuzungumza na mwanamke au msichana. Kwa njia hii wanaume wengi wanaishi maisha ya bila kumvutia mwanamke yeyote. Hapa kuna njia 15 utakazozitumia wewe...
1 Reactions
50 Replies
30K Views
Wadau wenzangu nimeamua kiliweka hill hadharani ilimnipe ushauri.mama yangu mzazi amepata stroke upande wa kushoto ni MTU wakuhitaji kulishwa kugeuzwa isipokuwa Mke niliye nae hataki kumpa...
0 Reactions
84 Replies
7K Views
Kuna mwanamke mdogo kwangu ni mpenzi wangu nimemzidi miaka 5 and she is vargin I have been insist to make love with her bt anasema anaogopa hatoweza! Mi nko tayar kumsubiria mpaka ndoa, wadau...
0 Reactions
35 Replies
18K Views
Mama mkwe amemshawishi mtoto wake aachane na mm na kumuambia km ataendelea kuishi na mimi atamuachia radhi mtoto wake nilipompigia cm mama mkwe akasema ndio nimemwambia nikamuuliza sababu gan...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanawake kutwa kucha kulalamikia wanaume sio waaminifu!! Charity begins at home, ni wanawake wangapi wenye mahusiano na wanaume wenye mahusiano na wanawake wenzao huku wao wakijua tena in worst...
4 Reactions
121 Replies
9K Views
Back
Top Bottom