Huu ni mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu baada ya kugegeda mabinti wa pande zote mbili yaani wa-uswazi na wa-kishua katika nyakati tofauti;
USWAZI:
Tamu ya watoto wa uswahilini...
Wanabodi Habari Zenu.
Nimepata Mtihani Kama Sio Majaribu Kwani Mama Yangu Mlezi (Aliyenilea Mpaka Nimekua) Anaumwa Sana Huko Kijijini Kwetu Na Wakati Huohuo Mpenzi Wangu Aliyenizalia Mtoto...
Habari ya usiku wana JF,
Nina mpenzi wangu wa muda mrefu kidogo na tunapendana tu sana na nimepanga kufanya mipango ya harusi hapo mwakani. Tatizo lililopo sasa ni dini yeye Mkristo na mimi...
Habari zeinyuuu mabibi na mabwana wa MMU,
Poleni na hekaheka za kumaliza mwaka, maana mwisho wa mwaka una mambo wengine wanakesha kwa kufaha wengine wanajuta na kung'ata meno kwa huzuni kila mtu...
Naandika kwa masikitiko makubwa, nahitaji ushauri.
Jamani wanaume mtatuua kwa matendo yenu.Ujirembe upike upakue ufanyeje bado mwanaume haridhiki, atatoka nje ya ndoa tuu.Wanawake wa siku hizi...
Kuna mada nimekutana nayo kijiweni jioni hii baada ya kutoka kazini ikanivutia sana
Hoja Kali ziliibuka wengine wakawatetea na wengine wakapigilia msumari
Mmoja alinistaajabisha sana na...
Kuna baba mmoja dodoma ni family friend wangu. Amefiwa na binti yake alikuwa form three. Hakuwa mgonjwa. Ameangalia season hadi saa tisa usiku alivyoenda kulala akafa usingizini. Saa. Mbili kasoro...
Habarini mimi ni kijana nina miaka arobaini, nilikuwa na mwanamke nikazaa nae watoto wawili tukaachana kwa sababu za kutoelewana na mimi na ndugu majirani, kiufupi ni mwanamke mgomvi sana hawezi...
Na galacha ��SWALI KWA WAVULANA WANAOISHI HOME!
Ebu tuambiane ukweli katika hili please!
Upo home unaishi na wazazi pamoja na dada yako, sasa msichana wako anakwambia bwana nataka...
Elimu Ya Bure Hii YOU MUST SHARE
Sikutegemea kabisa kama angeweza kunifanyia hivi...
Siku hizi amebadilika sana...
Huyu ni msaliti....
Ni baadhi ya kauli ambazo watu hutumia baada ya kuumizwa na...
Kuna dada mmoja nilikuwa na mahusiano naye siku za nyuma,
Kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikaona mwenzangu tabia inabadilika,
Nikimuhoji anakuwa mkali kuliko kawaida, yaani kama mwanaume mpole...
Wakuu natumaini wote wazima hivi kwanini wadada wengi wanakuwa wagumu kutoa namba za simu wakiwa kwenye sehemu ya watu wengi kama sokoni, balabalani,kanisani nini sababu?
Ndoa yangu ni changa na bado nahisi sijaifaidi bado. Kinachonitatiza ni msimamo na tabia za huyu mke wangu. Kama mwanaume huwa naongea nae mara kwa mara kumuelekeza ninachotaka na ninavyohitaji...
kuna raia kauliza bhana sio mimi.
Download Diamond Platinumz_utanipenda? | young sharo
Artist: Diamond platinumz.
Song: Je utanipenda?
Tanta lala laaa
La la la la laaaa
Mmmmmh...
Nakumbuka Na Wengi Wenu Mtakubaliana Nami Kwa Kiasi Fulani Kuwa Humu Vyuoni Huwa Kuna Kuwa Na Couples Nyingi Ambazo Mara Nyingine Hutuaminisha Kuwa Huko Mbeleni Baada Ya Kumaliza Masomo Basi Pia...
Wakuu sihitaji kutukanwa maana its too late for that! n its a true story....
Nataka tu ku 'share nanyi my story.. We've dated for more than 4 years, mabonde na milima tumepitia..tumeshibana...
Habar zenu wana MMU,
Mimi ni kijana mvulana middle twenties, nna mpenzi wangu nampenda sanaaaa, tatizo ni moja tu sina hamu ya kusex nae kabxa yaani nikijitaidi nampiga bao moja then stimu...
Wanajamvi salaam,
Ilikuwa ijumaa tar.16/10/2015. Nilikuwa naelekea kumuona mzee mmoja kiongozi wa jumuiya ndogondogo huko kwangu nnakoishi maeneo ya Mbagala.
Nikiwa njiani kabla sijafika kwa...
Tokea zamani wanawake shauku yao kubwa ni kutaka kuwateka (ningesema kumweka kiganjani lakini hilo neno ina ukali kidogo) waume zao, tatizo ni mbinu wanazotumia ndio zinawafelisha.
Ukitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.