maisha ukiyajengea majibu chanya utakuwa na furaha siku zote.
KWA MFANO,
1.ukipimgia simu mpenzi wako asipopokea,JIPE JIBU KUWA AMESINZIA HATA KAMA NI SAA NNE ASUBUHI.
2.akikuta missed...
Anafahamika zaidi kwa jina la Anti Suzy, kijana aliyezaliwa miaka 27 iliyopita huko Kirumba Mwanza, akiwa ni mtoto wa tatu katika familia ya watoto watano ambaye anaeleza machungu ya tabia ya...
Kuna msichana nilikuwa namchukulia kama dada kwa sababu ni dada wa rafiki yangu na tumekuwa tukipigiana simu ata usiku yeye pia amekuwa akinitumia ujumbe ata usiku ikawa mazoea.
Jana usiku wa saa...
Jamani ninajuta kumfaham huyu mwanamke, kwanza alinichosha wiki tu, baada ya kumtongoza kunikalia kooni kwa swali la NITAMUOA LINI?
Sasa wadau naomba mnijuze mbinu ya kumuacha maana...
Wana MMU nauliza tu kipi chenye walau afadhali na huruma ya pesa kidogo kati ya katabia ka kila ukitoka job unaelekea bar kupiga bia nne or tano daily AU katabia ka kuwa na mademu wengi kila after...
Namsteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ikiwa siku ya wanawake duniani bado haijasahaulika, nimeona si haba nitupie maneno KUNTU humu ili walau wanawake...
Mapenzi huwa hayachagui, moyo unapopenda huweza kupata upofu!
Kuna rafiki yangu alimpenda saaana bidada mmoja mrembo lakini kwao kulikuwa kunaogopeka kwa uchawi! Hakika kijana alikuwa kama karogwa...
Huyu mwanamke anaangalia TV mpaka saa 9 usiku. Anaamka saa 3 asubuhi. Anaondoka bila kuosha vyombo vilivyotumika kulia chakula jana usiku. Vinakaa hadi siku 3. Nilishapiga kelele sana lakini bado...
Habaar ya asubuh wana Mmu nahisi wote mtakuwa ni buheri wa afya njema na juma pili itakuwa njema.
Jana niliomba ushauri juu ya mpenzi wangu ambaye nilitarajia kwenda kwao kujitambulisha...
Wapo watu walikimbia kwa mbwembwe lakini walirejea mikono nyuma, kuna watu walihamia kwa mkopo huku lakini waliamua kuomba usajiri wa kudumu, wapo waliodhani watakuwa maarufu walipokosa umaarufu...
Michael Jackson's "long lost son" has allegedly been linked to the singer through DNA. A 31-year-old man named Brandon Howard has claimed for years his biological father is the late pop star...
Uliko lala wewe ndiko waliko amkia wao.
Kabla hujaanza kunjunji yeye alisha poteza bikira na kuumizwa moyo,
akikuambia wewe ni bwana wangu wa pili maana yake wewe ni bwana wangu wa mia mbili na...
A must read to all Parents***
SON: "Daddy, may I ask you a question?"
DAD: "Yeah sure, what is it?"
SON: "Daddy, how much do you make an hour?"
DAD: "That's none of your business. Why do you ask...
Mimi nimekaa humu Jukwaani sioni hata wakuni pm nakuniita angalau tufanye collaboration jamani msiwe wachoyo na siku yenu.....mimi natoa offer ya Nyama choma festival kwa wale wa DSM!
1Theyll only be into you if you have plenty of boom and bust
2.Theyll never say I Love you only that they say You optimise my utility.
3.They will rate your kids advancement into a Human...
Yafuatayo ni mambo matano muhimu ya kumfanyia mpenzi wako ili akupende kwa dhati, hebu jaribu kisha utanipa mrejesho:
1. Mpe hela
2. Mpe hela
3. We mpe hela
4. Nakwambia mpe hela
5. We mpe hela tu...
Baba yangu alimpenda sana mama, na alitoa ahadi ya kumuoa endapo angerudi kutoka masomoni kutoka ughaibuni.
Nilikua kichanga kidogo sana nyakati hizo ila nilihisi upendo wa baba, na hii...
Nimezunguka Tanzania nzima sijaona sehemu inayoongoza kuwa na wanawake wengi wenye vitambi kama DAR.
Nimeenda mpaka nchi za watu lakini bado sijaona sehemu Yenye wanawake wenye vitambi kama DAR...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.