SIJUI NI NDOTO AU UKWELI MI SIJUI....
Ndoto hii ilianza kunitokea Mwanzoni mwa mwezi Huu wa Tatu" mpaka sasa imefikia mahali ambapo mimi inanipa wakati mgumu kuamini kile kinachoendelea.
Kwa...
JE WEWE UPO KWENYE KUNDI GANI KATI YA HAYA?
Kuishi ni hatari, ndio kila siku tunakutana na hatari mbalimbali, lakini hatuachi kuishi.Katika maisha tunakutana na hatari mbali mbali, kuna ambazo...
Habari zenu wana MMU,
Nimekutana na suala hili hii ni mara ya pili, utakuta mtu anaenda hospitali akiwa na makonfidensi kibao, mwisho wa yote huishia ukingoni.
Nikiwa na maana mtu umeenda...
Za majukumu wanabodi?
Leo, jioni hii nilikuwa narudi home, kuna bidada mmoja alikuwa kavaa kisketi hicho kuanzia magotini hadi karibu theluthi ya mapaja yote ilikuwa ni kivutio cha abiria...
Hawayuni?
Kipindi hiki cha likizo ndefu Kenya na haswa watu wanaposherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya watu wengi hupenda kutembea baharini kama Mombasa.
Wengi hupenda kuogelea na...
Nawasalimu,
Haiwezekani baba mkwe kusema nimkopeshe hela halafu harudishi, karibia mwaka mzima sasa, mimi sina pesa za kuchezea
Haiwezi kuvuka 2 month kabla ya kupiga simu na kudai nimpe laki...
Habari zenu wana JF,
Yapata mwaka mmoja tangu kuachana na aliyekuwa mpenzi wangu.Tulipendana sana na tuliishi maisha ya furaha mda wote hatukuwai kukwaruzana na hii ni kutokana na kila mmoja wetu...
Habari za asubuhi wana jamvi.
Naleta kwenu utata huu unaoisumbua akili yangu, wengi mwaweza kuona kama jambo dogo lkn kwangu limekuwa mzigo mkubwa naomba msaada wa mawazo ili mahusiano yangu...
Habari za wakati huu wana MMU, nimekutana na hili sehemu mbili tofauti. Unakutana na mtu eneo fulani, tangia kupoteana yafika kama miaka 4 hamjaonana, tangia mko kijijini mlipotoka.
Unafurahi...
Habari za jumapili wanajamvi la MMU?
Huyu ni kaka yangu tumbo moja na aliyenilea na kunisomesha toka kidato cha kwanza mpaka cha nne ana mke na watoto watatu mmoja yuko form1 na wengine...
Habari wana jamvi?
Katika mahusiano kujuana vyema ni jambo la kawaida na raha sana, lakini je, unaweza mpenda mwenzi wako, kumzoea, kumjali n.k lakini ushindwe KUJAMBA MBELE YAKE?
watakaochukulia...
Habari zenu wakuu, Leo napenda kushare na nyinyi juu ya hili swala la lawama kwa pande zote mbili.
Siku hizi imezuka misemo utasikia eti "wanaume/wanawake walikuwa zamani bwana siku hizi hakuna...
Habar zenu wakuu.
Nimekuwa nikishangazwa na wana MMU wengi kuwa na tabia ya kutopuuzia thread yoyote inayowekwa kwa kuchangia tofauti na majukwaa mengine mnataka kuniambia ndo kukua kifkra?
Kwa kweli imebidi tu nije kulianzishia mada manake najiuliza sipati jibu kabisaaa!! But I don't intend to offend anybody!!
Kuna wadada wananichangazaga sana japo nakiri wazi ni very small...
Habari wadau..
Naona kelele za kuponda wadada wanapenda pesa nyingi na wahongaji wenyewe hawaonekani jinsi pilika zilivyo..
Maana nikiangalia mazingira yanayonizunguka kuanzia shule, chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.