Hizi alama za love bite, boyfriend wangu anapenda sana kuniweka hata mimi pia nazipenda ila kuna wakati zinanikosesha raha hasa nikiwa kwenye mjumuiko wa watu tofauti tofauti, sijui ndo...
Yesterday evening, I saw a grown up man with beards run away from a young lady carrying a baby. Apparently the lady had brought the baby to its father and instead of the father hugging the little...
Mpenzi wa kizungu akikupigia simu usipopokea atakutext.
"Honey whats wrong? Are you alright? I hope you are safe! Call me back ..I love you baby!
Mpenzi wa kiafrika akikupigia usipopokea simu...
Hii ni kweli wana jf,
Kati ya ma girlfriend wangu wote 10 niliowahi kuwa nao, wote walikua wakiniomba niwaoe.
Lakini binafsi nimekua nikiwadanganya kuwa nitawaoa na najua fika kuwa sio kweli...
Je ulishawahi kuambiwa hili Neno au huwa Unamwambia umpendae baada ya Kushuka mlima kilimanjaro "ASANTE"
Binafsi huwa naambiwa ila sijawahi Kujibu huwa nakaa kimya tu. Sijui kwa nini
*WIKEND...
Baba mtoto alinitenda sn wkt mtoto ana miezi 4 alipofika miezi 9 nikaamua kuachana naye nikajianzia maisha yangu,leo mtoto ana miaka 2 na nusu anaomba msamaha turudiane. Ushauri plziiii!
Kuna personality aina mbili ambazo binadamu tubaweza kuwa nazo. Unaweza kuwa introvert au extrovert (nimekosa neno la kiswahili).
Introvert ni watu ambao mambo yao mengi wanapenda kuyafanya...
Kuna baadhi ya wanaume hawajui jinsi ya kuzungumza na mwanamke au msichana. Kwa njia hii wanaume wengi wanaishi maisha ya bila kumvutia mwanamke yeyote.
Hapa kuna njia 15 utakazozitumia wewe...
Kuna mwanamke mdogo kwangu ni mpenzi wangu nimemzidi miaka 5 and she is vargin I have been insist to make love with her bt anasema anaogopa hatoweza! Mi nko tayar kumsubiria mpaka ndoa, wadau...
Mama mkwe amemshawishi mtoto wake aachane na mm na kumuambia km ataendelea kuishi na mimi atamuachia radhi mtoto wake nilipompigia cm mama mkwe akasema ndio nimemwambia nikamuuliza sababu gan...
Wanawake kutwa kucha kulalamikia wanaume sio waaminifu!! Charity begins at home, ni wanawake wangapi wenye mahusiano na wanaume wenye mahusiano na wanawake wenzao huku wao wakijua tena in worst...
Mimi nilikua nina hamu sana ya kufanya skydiving siku moja, kujirusha kutoka kwenye ndege na parachute..
Sasa mwisho wa siku nimelitimiza hilo, ilikua ni experience moja breathtaking, yahitaji...
Ndoa ni tendo na ni taasisi takatifu
Ndoa inahitaji kuvumiliana,kuheshimiana na kuthaminiana
Ndoa nyingi siku hizi zinakumbwa na migogoro isiyoisha.Baadhi ya ndoa wanandoa wakionekana kwa nje...
Wengi wetu wanaume hudhani kuwa hawa ni wadekaji na kulia kuko karibu sana zaidi ya meno na lip.... and thus they just use it to fake...but sometimes it work on contrary.
From my own woman, i...
Yaani mpenzi wako yuko nje ya nchi na daily tunawasiliana kwa siku,skype,or email or facebook sasa baada ya miezi mitatu karudi bongo ,sie tunaishi morogoro,nimempokea airport dar tukaona tuchukue...
Mwaka 2004 nilianza kazi nikiwa mwl wa shule ya msingi na 2005 nikaoa kwa ndoa ya kikristo kanisani.
Kabla ya mke wangu kuwanae tayari nilikuwa na mtoto 1 na mke wangu pia nikazaa nae mtoto...
Wanaume kuweni sana makini na nyumba ndogo mnajiachia sana sana kisa unajua ooonh kule ndo mapenzi yalipo nnapotea sana wewe mwanaume uliyeoa kwa ndoa either kanisani, msikitini, boman jichunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.