Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.3K
Threads
7.5K
Posts
210.3K

JF Prefixes:

Hizi alama za love bite, boyfriend wangu anapenda sana kuniweka hata mimi pia nazipenda ila kuna wakati zinanikosesha raha hasa nikiwa kwenye mjumuiko wa watu tofauti tofauti, sijui ndo...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Yesterday evening, I saw a grown up man with beards run away from a young lady carrying a baby. Apparently the lady had brought the baby to it’s father and instead of the father hugging the little...
0 Reactions
1 Replies
660 Views
Mpenzi wa kizungu akikupigia simu usipopokea atakutext. "Honey whats wrong? Are you alright? I hope you are safe! Call me back ..I love you baby! Mpenzi wa kiafrika akikupigia usipopokea simu...
7 Reactions
61 Replies
9K Views
Hii ni kweli wana jf, Kati ya ma girlfriend wangu wote 10 niliowahi kuwa nao, wote walikua wakiniomba niwaoe. Lakini binafsi nimekua nikiwadanganya kuwa nitawaoa na najua fika kuwa sio kweli...
3 Reactions
55 Replies
5K Views
Ipi ipo poa mazee
0 Reactions
140 Replies
23K Views
Je ulishawahi kuambiwa hili Neno au huwa Unamwambia umpendae baada ya Kushuka mlima kilimanjaro "ASANTE" Binafsi huwa naambiwa ila sijawahi Kujibu huwa nakaa kimya tu. Sijui kwa nini *WIKEND...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Jamani hisia za kufanya sex zinapanda hadi najihofia na sipo tayari kufanya sex kwa sasa nifanyeje ili nipoe..!
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Baba mtoto alinitenda sn wkt mtoto ana miezi 4 alipofika miezi 9 nikaamua kuachana naye nikajianzia maisha yangu,leo mtoto ana miaka 2 na nusu anaomba msamaha turudiane. Ushauri plziiii!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna personality aina mbili ambazo binadamu tubaweza kuwa nazo. Unaweza kuwa introvert au extrovert (nimekosa neno la kiswahili). Introvert ni watu ambao mambo yao mengi wanapenda kuyafanya...
4 Reactions
33 Replies
7K Views
Kuna baadhi ya wanaume hawajui jinsi ya kuzungumza na mwanamke au msichana. Kwa njia hii wanaume wengi wanaishi maisha ya bila kumvutia mwanamke yeyote. Hapa kuna njia 15 utakazozitumia wewe...
1 Reactions
50 Replies
30K Views
Wadau wenzangu nimeamua kiliweka hill hadharani ilimnipe ushauri.mama yangu mzazi amepata stroke upande wa kushoto ni MTU wakuhitaji kulishwa kugeuzwa isipokuwa Mke niliye nae hataki kumpa...
0 Reactions
84 Replies
7K Views
Kuna mwanamke mdogo kwangu ni mpenzi wangu nimemzidi miaka 5 and she is vargin I have been insist to make love with her bt anasema anaogopa hatoweza! Mi nko tayar kumsubiria mpaka ndoa, wadau...
0 Reactions
35 Replies
18K Views
Mama mkwe amemshawishi mtoto wake aachane na mm na kumuambia km ataendelea kuishi na mimi atamuachia radhi mtoto wake nilipompigia cm mama mkwe akasema ndio nimemwambia nikamuuliza sababu gan...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanawake kutwa kucha kulalamikia wanaume sio waaminifu!! Charity begins at home, ni wanawake wangapi wenye mahusiano na wanaume wenye mahusiano na wanawake wenzao huku wao wakijua tena in worst...
4 Reactions
121 Replies
9K Views
Mimi nilikua nina hamu sana ya kufanya skydiving siku moja, kujirusha kutoka kwenye ndege na parachute.. Sasa mwisho wa siku nimelitimiza hilo, ilikua ni experience moja breathtaking, yahitaji...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Ndoa ni tendo na ni taasisi takatifu Ndoa inahitaji kuvumiliana,kuheshimiana na kuthaminiana Ndoa nyingi siku hizi zinakumbwa na migogoro isiyoisha.Baadhi ya ndoa wanandoa wakionekana kwa nje...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Wengi wetu wanaume hudhani kuwa hawa ni wadekaji na kulia kuko karibu sana zaidi ya meno na lip.... and thus they just use it to fake...but sometimes it work on contrary. From my own woman, i...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Yaani mpenzi wako yuko nje ya nchi na daily tunawasiliana kwa siku,skype,or email or facebook sasa baada ya miezi mitatu karudi bongo ,sie tunaishi morogoro,nimempokea airport dar tukaona tuchukue...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Mwaka 2004 nilianza kazi nikiwa mwl wa shule ya msingi na 2005 nikaoa kwa ndoa ya kikristo kanisani. Kabla ya mke wangu kuwanae tayari nilikuwa na mtoto 1 na mke wangu pia nikazaa nae mtoto...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wanaume kuweni sana makini na nyumba ndogo mnajiachia sana sana kisa unajua ooonh kule ndo mapenzi yalipo nnapotea sana wewe mwanaume uliyeoa kwa ndoa either kanisani, msikitini, boman jichunge...
1 Reactions
66 Replies
5K Views
Back
Top Bottom