Huyu mtoto ni wangu au Mkemia Mkuu ahusike?

Boko halal

Senior Member
May 14, 2014
167
119
Nina mchumba ambaye tunaishi mikoa tofauti tarehe 23 mwezi wa nne alikuja kunitembelea mkoa ninaoishi akakaa kama wiki baada ya muda kama wa wiki 3 akaniambia hajaona siku zake nikamwambia nenda ukapime au nunua kipimo ujipime mwenyewe inawezekana una mimba.

Kesho yake akaniambia amepima ana mimba nikamwambia haina tatizo azae tu tutalea maana tupo kwenye taratibu za ndoa cha kushangaza jana kajifungua tena mtoto mwenye afya.

Nikipiga hesabu naona bado siku zilikuwa hazijafika na hata makadirio ya manesi(kwa mujibu wake) ilikuwa bado mwezi mmoja, je nini kimetokea hapa huyu mtoto atakuwa wangu kweli?

Wataalamu nisaidieni.
 
Kaka tumia akili nzuri kidogo. Mtoto aweza kabisa bila kinyongo akawa ni wako. Kiasili tu, watoto hutofautiana sana kuzaliwa ukoo mmoja hadi mwingine.
Mfano, mtoto akiwa ke ukoo flan huzaliwa mapema zaidi ya me. Pia kwa hesab za tarehe zako, hata sasa mtotoatakuwa tiyari so usijisumbue kwenda kupima. Naamini kama mtoto ni wako, halaf ukamsumbua mamake yawezekana akija kuwa mubwa mamake akimwambia ulichofanya akaona ka ulimdhalilisha mamake.
Swali la kizushi; Humwamini huyo mwanamke? Sasa hamjafunga ndoa kelele tiyari, mkufunga ndoa itakuwaje?
 
Nina mchumba ambaye tunaishi mikoa tofauti tarehe 23 mwezi wa nne alikuja kunitembelea mkoa ninaoishi akakaa kama wiki baada ya muda kama wa wiki 3 akaniambia hajaona siku zake nikamwambia nenda ukapime au nunua kipimo ujipime mwenyewe inawezekana una mimba kesho yake akaniambia amepima ana mimba nikamwambia haina tatizo azae tu tutalea maana tupo kwenye taratibu za ndoa cha kushangaza jana kajifungua tena mtoto mwenye afya nikipiga hesabu naona bado siku zilikuwa hazijafika na hata makadirio ya manesi(kwa mujibu wake) ilikuwa bado mwezi mmoja je nini kimetokea hapa huyu mtoto atakuwa wangu kweli wataalamu nisaidieni.

Sio wako ht robo
 
Ni wako bila chenga ebu hesabu 4 to 12= 9 afu kumbuka kama ni binti mara nyingi naskiaga hata miezi 8 inawezekana ajifungue. Ongera sana.
 
Aiseee....

Kwa hesabu ni kweli miezi tisa imefika.
Ila inabidi uchunguze kwa makini.
 
Kanae muulize km alishakutana na boy mwngne oneweek b4u,,km hapana bs kitanda hakzai haramu,,,,DNA test ihusike chek na dogo km hana any abdomality
 
Nina mchumba ambaye tunaishi mikoa tofauti tarehe 23 mwezi wa nne alikuja kunitembelea mkoa ninaoishi akakaa kama wiki baada ya muda kama wa wiki 3 akaniambia hajaona siku zake nikamwambia nenda ukapime au nunua kipimo ujipime mwenyewe inawezekana una mimba kesho yake akaniambia amepima ana mimba nikamwambia haina tatizo azae tu tutalea maana tupo kwenye taratibu za ndoa cha kushangaza jana kajifungua tena mtoto mwenye afya nikipiga hesabu naona bado siku zilikuwa hazijafika na hata makadirio ya manesi(kwa mujibu wake) ilikuwa bado mwezi mmoja je nini kimetokea hapa huyu mtoto atakuwa wangu kweli wataalamu nisaidieni.

Huyo mtoto si wako niamini mimi
Ingekuwa katangulia angezaa mwezi wa 11...sio mwezi huu
 
Back
Top Bottom