Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ndoa ni mtihani leo nimekutana na ugomvi mkubwa mwanaume analalama mkewe anataka wafanye mapenzi kila siku hata kama jamaa kachoka yeye anataka sex. Mimi nikaona hili ni tatizo kubwa nikamwuliza...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kumaliza weekend salama. Kuna hili swala la haki sawa nimeona linaweza kuwa tatizo kwa wanawake mimi niko Mwanza leo tulikuwa tunapita mahali barabara...
0 Reactions
2 Replies
972 Views
Salaam wakuu. Nijuavyo mimi watu huingia kwenye mahusiano ya kimapenzi ili kupata faraja, hivyo hutegemea kupata furaha na kuwapa furaha wenza wao. Wengine wamekuwa wakifanikiwa katika hilo na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna mdada mmoja huku mtaani kwetu amejikuta katika mtihani mzito mpaka kushindwa kuelewa afanye kitu gani, yye ni msichana mwenye umri wa miaka 22 alibahatika kupata mwanaume kipindi akiwa na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanajamvi mimi ni msomaji mzuri sana wa Simulizi, nimeona story mbali mbali hapa jamvini na nimeshasoma baadhi ya hizo, kuna story kama mirathi ya kaka na wakili wa moyo zilizoandikwa na...
5 Reactions
53 Replies
18K Views
KUKAA NA KINYONGO NI KUENDELEA KUJITESA TU Ni kwamba unakosa nafasi ya kufuatilia mambo mengine muhimu kwako.Unaweza kujiaminisha kwamba kinyongo ulichomwekea mtu unastahili kabisa...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
1. Wengi wao wanapendwa sana ila si kwa ajili ya kuolewa. 2. Wengi wao wanatumika tu pasipo kutolewa mahari. 3. Na hata pale wanapoolewa basi ndoa hiyo hua na mashaka na wasiwasi mwingi. Huu ni...
0 Reactions
85 Replies
44K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ujue mjini kunatabia za kishamba za kupotezeana mda, mtu unajikuta mnapangwa hata 4...
41 Reactions
149 Replies
33K Views
Habari zenu wana MMU. Natumaini mko poa, na wk-end inakwenda vzr. Ok. Kuna hii tabia ya watu kuwa kwenye mahusiano kisiri siri, yan wanagegedena kimya kimya! Vyuoni, Ofisini, Kwenye za kupanga...
0 Reactions
69 Replies
14K Views
  • Poll Poll
Akiwa amepitiwa na usingizi ndani ya nondo za gereza Tarick anasikia nyayo za mtu zikimsogelea Taratibu. Huku akiwa hoi kutokana na uchovu wa kipigo kizito alichopewa na kikosi cha usalama wa...
17 Reactions
221 Replies
46K Views
Wana JF habar zenu. Naishi na familia yangu,miaka minne iliyopita tulihamia kwenye nyumba yetu hapa Dar. Jirani yetu alitupokea kwa furaha na kutuambia habar za mtaa mzima,alituambia pia watu...
1 Reactions
69 Replies
9K Views
Mwanamke asipokua makini anaweza kujikuta unatumiwa na wanaume hata 100. Mwanaume kaumbwa kushawishi. Ni jambo la kawaida kwa mwanaume kutongoza na kuwa hata na wanawake 10. Hata ukitizama...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
Verse 1} Yanaanza kama safari twende folani ukaone, Kumbe yana nguvu ni hatari ukishanasa ndio uponie..x2 Mungu aliumba dunia na Maajabu yaake Ya mwenzako sikia omba yasikupate, eeih ..x2...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
NITAMTAMBUAJE MKE /MUME AMBAYE MUNGU AMENIANDALIA? Na:pastor:Emmanuel Swali; Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu Pastor:Emmanuel Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa ajili yenu kwa huduma...
3 Reactions
13 Replies
16K Views
Nina rafiki yangu amekuwa akiishi Dodoma na msichana wake, the same room as Mr and Mrs japo hawajafunga ndoa. Jamaa wangu amekuwa akimwamini sana msichana wake, kwasababu kiukweli ukimtazama...
2 Reactions
205 Replies
28K Views
Kwamba kifanyio kina expiry date... Hiki kitu kinaumiza mno! Kwamba hakuna kufanya utundu tena wala kuruka ruka naumia sana tena sana! Kama kungekuwa na jinsi ya kuichakachua hii expire date...
1 Reactions
76 Replies
12K Views
Jamani kumekuwa na tabia ya watu kuwa busy na kushindwa kuwanyonyesha watoto kwa miezi sita bila kuwapa kitu chochote, hili ni kosa na tatizo kubwa sana kwa jamii. Utafiti unaonyesha watoto...
10 Reactions
108 Replies
20K Views
Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Hodi wanajamvi wakuu wa JF, Najitokeza hapa kwa mara ya kwanza, kwanza nitoe shukrani kwa jinsi mnavyodadavua mada husika, Nimeoa hivi Karibuni, hivo siku ile ya harusi tulipotoka tu kanisani...
0 Reactions
126 Replies
26K Views
USIKUBALI NDOTO ZAKO ZIZIMIKE KWA MAONI YA MTU MWINGINE Zama hizi tunazoishi kila mtu ana maoni na kila mtu ana maoni kuhusu jambo lolote.Na kila mtu anaweza kutoa maoni yake juu ya jambo lolote...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…