Ndoa ni mtihani leo nimekutana na ugomvi mkubwa mwanaume analalama mkewe anataka wafanye mapenzi kila siku hata kama jamaa kachoka yeye anataka sex.
Mimi nikaona hili ni tatizo kubwa nikamwuliza...
Wakuu,
Poleni na majukumu pia hongereni kwa kumaliza weekend salama.
Kuna hili swala la haki sawa nimeona linaweza kuwa tatizo kwa wanawake mimi niko Mwanza leo tulikuwa tunapita mahali barabara...
Salaam wakuu.
Nijuavyo mimi watu huingia kwenye mahusiano ya kimapenzi ili kupata faraja, hivyo hutegemea kupata furaha na kuwapa furaha wenza wao. Wengine wamekuwa wakifanikiwa katika hilo na...
Kuna mdada mmoja huku mtaani kwetu amejikuta katika mtihani mzito mpaka kushindwa kuelewa afanye kitu gani, yye ni msichana mwenye umri wa miaka 22 alibahatika kupata mwanaume kipindi akiwa na...
Habari wanajamvi mimi ni msomaji mzuri sana wa Simulizi, nimeona story mbali mbali hapa jamvini na nimeshasoma baadhi ya hizo, kuna story kama mirathi ya kaka na wakili wa moyo zilizoandikwa na...
KUKAA NA KINYONGO NI KUENDELEA KUJITESA TU
Ni kwamba unakosa nafasi ya kufuatilia mambo mengine muhimu kwako.Unaweza kujiaminisha kwamba kinyongo ulichomwekea mtu unastahili kabisa...
1. Wengi wao wanapendwa sana ila si kwa ajili ya kuolewa.
2. Wengi wao wanatumika tu pasipo kutolewa mahari.
3. Na hata pale wanapoolewa basi ndoa hiyo hua na mashaka na wasiwasi mwingi.
Huu ni...
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ujue mjini kunatabia za kishamba za kupotezeana mda, mtu unajikuta mnapangwa hata 4...
Habari zenu wana MMU. Natumaini mko poa, na wk-end inakwenda vzr.
Ok. Kuna hii tabia ya watu kuwa kwenye mahusiano kisiri siri, yan wanagegedena kimya kimya!
Vyuoni, Ofisini, Kwenye za kupanga...
Akiwa amepitiwa na usingizi ndani ya nondo za gereza Tarick anasikia nyayo za mtu zikimsogelea Taratibu. Huku akiwa hoi kutokana na uchovu wa kipigo kizito alichopewa na kikosi cha usalama wa...
Wana JF habar zenu.
Naishi na familia yangu,miaka minne iliyopita tulihamia kwenye nyumba yetu hapa Dar.
Jirani yetu alitupokea kwa furaha na kutuambia habar za mtaa mzima,alituambia pia watu...
Mwanamke asipokua makini anaweza kujikuta unatumiwa na wanaume hata 100.
Mwanaume kaumbwa kushawishi. Ni jambo la kawaida kwa mwanaume kutongoza na kuwa hata na wanawake 10. Hata ukitizama...
Verse 1}
Yanaanza kama safari twende folani ukaone,
Kumbe yana nguvu ni hatari ukishanasa ndio uponie..x2
Mungu aliumba dunia na Maajabu yaake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate, eeih ..x2...
NITAMTAMBUAJE MKE /MUME AMBAYE MUNGU AMENIANDALIA?
Na:pastor:Emmanuel
Swali;
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu
Pastor:Emmanuel
Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa ajili yenu kwa huduma...
Nina rafiki yangu amekuwa akiishi Dodoma na msichana wake, the same room as Mr and Mrs japo hawajafunga ndoa.
Jamaa wangu amekuwa akimwamini sana msichana wake, kwasababu kiukweli ukimtazama...
Kwamba kifanyio kina expiry date... Hiki kitu kinaumiza mno! Kwamba hakuna kufanya utundu tena wala kuruka ruka naumia sana tena sana! Kama kungekuwa na jinsi ya kuichakachua hii expire date...
Jamani kumekuwa na tabia ya watu kuwa busy na kushindwa kuwanyonyesha watoto kwa miezi sita bila kuwapa kitu chochote, hili ni kosa na tatizo kubwa sana kwa jamii.
Utafiti unaonyesha watoto...
Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa...
Hodi wanajamvi wakuu wa JF,
Najitokeza hapa kwa mara ya kwanza, kwanza nitoe shukrani kwa jinsi mnavyodadavua mada husika, Nimeoa hivi Karibuni, hivo siku ile ya harusi tulipotoka tu kanisani...
USIKUBALI NDOTO ZAKO ZIZIMIKE KWA MAONI YA MTU MWINGINE
Zama hizi tunazoishi kila mtu ana maoni na kila mtu ana maoni kuhusu jambo lolote.Na kila mtu anaweza kutoa maoni yake juu ya jambo lolote...