"kumpokonya ama kutompokonya ina tegemeana.. ila kama umempa unaachana navyo tu, mbona viko vingi madukani"Hivi kuna umuhimu wowote wa kumpokonya vitu vyako kwa mpenz wako wa zamani,mfano km ulimnunulia gari,laptops,simu na vinginevyo????
Umnyang'anye na mbegu ulizomwekea wakati wa kujamiana. Lengo langu sio kutukana bali nataka kukueleza kuwa alikufurahisha ndio ukaamua kumnunulia hivyo vitu, huwezi kumnyang'anya kwani nawe ile furaha aliyokupatia wakati ule huwezi kuilipHivi kuna umuhimu wowote wa kumpokonya vitu vyako kwa mpenz wako wa zamani,mfano km ulimnunulia gari,laptops,simu na vinginevyo????
Babu wee myunani eee!?Undava dawa yake ni Undava tuu..
KUPOKONYWA anapokonywa na Kujeruhiwa anajeruhiwa... kwani tsh ngapi????
Hapana, Usikariri,,, Haya ni maisha ya mtandaoni tu, ni tofauti na maisha yangu halisiBabu wee myunani eee!?