Jamani naomba kupata uzoefu toka kwa wazazi wenzangu ni umri gani ambao unaweza ukaacha kulala na mtoto wako kama mnaishi wawili yaani husband and wife, mwanangu ana miezi 30 sasa bado tunalala...
You should have given him a chance! Brilliant prank video exposes 'gold-digging' woman who turns down a scruffy-looking admirer - only to discover she has made a BIG mistake
Prankster Josh Paler...
Salamu kwenu!
Tukiwa katika mapumziko ya maulidi kwa upande wa Waislamu; na pia katika hatua ya kuifikia sikukuu ya chrismass hapo kesho.
Kuna suala nahitaji kujua kwa upana zaidi juu ya matokeo...
Hello people,
I have this lady friend of mine.She seriously needs someone to hook up with and get into a serious relationship of which marriage is the ultimate goal(Repeat it louder)
She is aged...
Hali zenu wapendwa! Ni tumaini langu mu wazima wa afya.
Baada ya kuona ushauri wenu hapa JF, nimeona vyema nikawashirikishe mambo yanayoniumiza kichwa:
1. Nilimpata mwanamke mmoja tukaamuwa kuwa...
Hello watz mpooooooo!
Nani kati ya simba na yanga leo?
Back to my main thread.
Humu kuna wataalamu wakuchambua na kudadavua mambo, hebu nambieni ni kwanini baadhi ya wanawake wanapendelea...
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uhai na afya.
Lakini pia nachukua wasaa huu kuwashukuru wote wanaoifanya jamiiforum kutufanya tupate pa kusemea.Baada ya shukrani zangu hizo sasa niende moja...
Binadamu kukosea katika maisha ni jambo la kawaida sana. Binafsi naamini asiyekosea ni yule asiyefanya lolote. Japo hilo haliwezekani kwani usipofanya kwa vitendo basi utakosea kwa maneno tu...
Nimeipata hii wanajamvi mwasemaje:
" BUSARA ZA BABA ...
Msichana alinunua simu smartphone ambayo ni ghali mno. Baba yake alipoiona alimuuliza "Binti yangu uliponunua hiyo simu yako ya gharama...
Nimeomba samahani kwa wale watakaokwazika na kuumizwa na habari hii.
Kuna jamaa rafiki yangu sana ana mchumba wake ni mchagga tabia zake zinaendana sana na binti mmoja ambaye ni rafiki yangu...
Toka tumwagane na kipenzi changu .napata wasichana wengine lakini nashangaa nakuwa sina mzuka nao !sometimes siku mbili zina pita siwatafuti wakishoboka nawa ambia simu mbovu. Lakini kwa kipenzi...
Wadau tangu wife ameanza kazi wametokea maharamia wengi wa mapenzi mtaani kwetu wenye kutumia gari kutaka kuchota mama watoto wangu
Sasa nina ka milion tano nahitaji japo passo au vits ya mkononi...
Wanajamvi,
Habari za jumanne.?
Pamoja na umri wangu kuwa umesonga,lkn kiukweli sijawahi kuthibitishiwa popote kuhusu hili suala,pengine labda kutokana na mazingira niliyokulia.
Naamini hapa...
Habari zenu MMU,
Ni wiki sasa imepata tangu nilipoleta hapa jamvini thread ya kuomba ushauri
Nimempa ujauzito mwanafunzi mwenzangu, naomba ushauri asanteni kwa ushauri wenu pia na kejeli pia...
Miezi 10 iliyopita niliamua kufanyiwa uzazi wa mpango kwa kutumia ile njia ijulikanayo kwa jina la VASECTOMY. Hii ni baada ya kuona mwenzangu 'hesabu' zimemshinda kabisa. Nikaona ili kuepuka...
Habari JF,
Nashindwa kuelewa labda nina bahati mbaya,kila mwanamke ninayempata yupo kwa ajili ya kuomba pesa,hata kama nimempenda ghafla upendo unaisha.
Mfano tumefahamiana leo kesho anatuma sms...