toka nimeanza kutumia mitandao ya kijamii fb,twitter na jamii forums naonaga watu wanatafuta wachumba.
SWALI: hv ni kweli kuna m2 ameshawahi kumpata na wakakaa nae zaid ya miaka 5 kama yupo aseme .
Kwanza nikiri wazi kuwa mada ya "Ulishawahi kujutia mchepuko?" ndo imenikumbusha hii habari ya huyu bwana nikaona nishee nanyi pengine kuna kitu cha kujifunza.
Ni mume mwenye mke wa ndoa kabisa...
Mimi ni kijana wa kiume nnaejielewa vzuri tu. Natafuta mchumba awe na umri kuanzia 24-30yrs, elimu kuanzia kidato cha nne, awe mkristo na mkazi wa Dar es salaam. Its seriously wanajamvi tuache...
Mimi ni kijana mabaye nimeoa na nimebahatika kupata watoto wawili na huyo mke wangu. Mimi ni mtu ambaye sipendi kuanika sana mambo yangu na familia yangu hadharani hasa kwenye social media. So hio...
Unaweza kusema unampenda mtu kisha ukamuongoza katika njia zisizofaa? Unaweza kusema unampenda mtu kisha anapokosea unakaa kimya? Unaweza kusema unajali? Je huu ni upendo wa kweli?
Wenye upendo...
Yani wanawake wa siku hizi kutofautisha fedha (kipato) na mapenzi ni ngumu sana, tena sana kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.Hata ukimkuta analia akiwa amemwagwa kilio chake kina mengi...
Maneno hayo hata yangetoka kwa Adam na Hawa, nimesema simtaki tena! Kweku ni kijana mtaalamu wa mambo ya IT, anafanya kazi na mashirika ya kigeni, kazi yake ni ya kusafiri sana, mara nyingi...
Wangaluka wosee,
Leo nimekumbuka pacha wangu, tulizaliwa pamoja, kwa maana ya kwamba tulikaa ndani ya tumbo la mama kwa miezi 9. Haikuwa mipango ya Mungu pacha wangu tulitengwa nawe nikiwa na...
“Una matatizo ya kiafya…”, “wewe ni mbinafsi”, “utaishia pabaya” n.k, haya ni baadhi ya maneno na tabiri ambazo wamekua wakizipokea watu woote ambao wameshadhihirisha kwenye jamii kua wao kamwe...
Mwanamke mmoja katika muungano wa milki za kiarabu amepigwa faini nakurudishwa kwao baada ya kupatikana akiingia katika faragha ya mumewe.
Vyombo vya habari vinasema kuwa mwanamke huyo alichukua...
Nina miaka 25, nahitaji mwanaume(sio wa Dar). Awe na miaka 27_32. Asiwe cheusi mangala, aliye tayari anipm
Nb. AWE TAYARI KUPIMA AFYA(HIV/AIDS) na magonjwa mengine
Habari zenu wana MMU bila shaka hamjambo,
Mimi ni mume wa mke mmoja lakini pia sisi tulizaliwa wawili (pacha) wote wakiume, baada ya kutokea matatizo ya kufiwa na wazazi wetu tukiwa na miaka 14...
Huwa nasikia mara nyingi watu wakisema na hata kuimba ni nini. Msisitizo umekuwa kuweka vigezo vya kijumla kwa mwanamke, sijaona kukiwa na msisitizo wa vigezo vya jumla kwa wanaume.
Ninajua kila...
Nimeamua kumuombea mdogo wangu ushauri humu kwa sababu id anayotumia humu ni halisi hivyo hataki kujiexpose.
Iko hivi;
"Nina mpenzi wangu ni mchaga kwa kabila anasoma chuo(udaktari).
Huyu binti...
Mwanamke ni nani? (sio msichana tafadhali)
Mwanamke ni binadamu wa pili kuundwa na Mungu kutokana na ubavu wa Adamu.
Mwanamke ni yule ambae huijua thamani yake angali bado mdogo aitha kwa...
Habari za mchana,
Nimezaa na kijana mmoja ambaye alinitelekeza toka niko mjamzito.Nilimove on na maisha yangu nikalea mimba haadi mtoto akazaliwa,hajawahi hudumia huyu mtoto tangu mimba hadi leo...
Huyu mama ni mtanzania anaishi London wengi tulimzoea kama aunt, alikwenda miaka ya 70 na mume wake kimasomo lakini baada ya hapo wazungu walimpa baba kazi. Wamelea vijana wengi wanaokwenda...