Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wadau wa JF sina shida na nyie nina shida na hizi ofisi za umma kuweka condom dispensers kwenye korido. Hii imekaa sawa kweli wadau? Mimi naona haijakaa poa sana sana ni kuhalalisha ufusika...
9 Reactions
41 Replies
780 Views
  • Redirect
Navutiwa sana na nyeto najisevia tu Sitaki ngono na sitamani mapenzi na sivutiwi na wadada
7 Reactions
Replies
Views
Habari, ipo hivi kuna demu tangu mwaka jana mwezi wa nane nilikua namfukuzia tukaanza mahusiano japo kwenye tendo hataki maana ameshika dini na ni bikra , mwaka huu kuna kipindi alisema hataki...
7 Reactions
186 Replies
2K Views
Wazazi kuna jambo ambalo inabidi leo mlielewe ama mlizingatie wakati wa kuozesha binti zenu. Kuna kasumba ya kutajiana mahari kubwa halafu mnaanza kuvutana kama vile mnauziana bidhaa. Sasa ni...
10 Reactions
61 Replies
740 Views
Nini kifanyike kitaongeza thamani kwa wanaume wengi kutoa mahari kwa wanawake wanaowaoa? kwa sababu kuna mtu wanaishi hata miaka 20 na hajalipiwa mahari? mtu kafariki ndio inagundulika hajalipa mahari
6 Reactions
57 Replies
530 Views
Zamani msichana akiolewa alikuwa anaumwa wiki nzima. Anaamka anachechemea. Siku hizi kesho yake anaamkia kazini. Bado natafuta tatizo liko wapi…
17 Reactions
96 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Kuna kabinti nili fall in lo❤️. Sasa kila nikiomba mchezo kanadai kenyewe bado, yani bikra, dah nikasema sawa. Sasa Huwa na dada angu wa mjini, si nika mpa stori akanipongeza ila...
10 Reactions
91 Replies
1K Views
Hamjambo wote! Kuna watu wanafurahisha Sana. Ati wanamshangaa na kumsimanga Azizi Ki kwa kutoa Mahari 30m na Ng'ombe 30 na kumshutumu na kumkejeli kwamba ni mshamba sijui kanunua gazeti la Juzi...
10 Reactions
65 Replies
3K Views
WANAWAKE WENGI HUFIKIRI KILA MWANAUME ALIWAHI KUTOA BIKRA WAKATI WALIOKUTANA NA BIKRA NI WANAUME 2 KATI YA 10. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Mara kadhaa nimekuwa nikiwasikia wanawake...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
natafuta mchumba wa kike awe na sifa zifuatazo ■ awe na umri kati ya miaka 22-25 ■ awe mwembamba kiasi mwenye shape ya kawaida ■ kabila lolote ■ Dini awe Muislam ■ Elimu kuanzia lasaba hadi form...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwenye sheria hazitumiki hisia, kinachoangaliwa ni kile kilichoandikwa kwenye vitabu. Hivyo maamuzi yoyote utakayofanya hata kama ni kwa nia nzuri lazima ujue kuna consequences zake. Kumbuka...
35 Reactions
155 Replies
4K Views
Pole sana bwana PERAMIHO YETU 1
5 Reactions
10 Replies
288 Views
Kuna kasumba hapa kwamba demu akiwa instagram haliwi kwanza kuna hawa akina Chizi Maarifa na Yule Mwingine ntamtag later wanadhani mwanamke akiwa instagram hafikiwi, ndo tunaishi nao huku, mi...
13 Reactions
120 Replies
2K Views
Habari za Sabato! Saikolojia iko hivyo. Kihisia na kiakili mwanaume na mwanamke hawana tofauti yoyote ile. Wanawake wana wivu kama tulivyo wanaume. Wanawake wanatamaa ya ngono kama tulivyo...
23 Reactions
317 Replies
4K Views
Natoa pongezi kwa wanandoa wote na wanandoa feki ambao wanaishi pamoja na hawajaoana. Maana wakina mama vilea mtaani wamekua wengi, mama wajawazito nao wamekua wengi, na huko mahospitalini haipiti...
2 Reactions
11 Replies
162 Views
Wakuu kwema. Nataka kushare kitu kinachoniumiza moyo lakini sina jinsi. Nimeoa ni zaidi ya miaka 8 sasa, tuna watoto watatu na tunaishi vizuri tu ndani ya ndoa yetu. Kitu kinanachonitatiza...
20 Reactions
49 Replies
4K Views
Hivi kwa week inatakiwa kufanya mapenzi mara ngapi?
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwanini dharau zinakuwa nyingi kutoka kwa wadada wa aina hii? kuna shida gani tukajenga wote maisha tokea chini? Kwani ni lazima unikute na gari tayari? Hatutaki wa aina yenu wa telegram...
4 Reactions
16 Replies
268 Views
Ukitumia akili utagundua hii Dunia inaendeshwa na matrix Yaani mawazo ya watu wajinga wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanakuwa controlled na mfumo wa MTU Fulani anayejaribu kusema kuwa kuoa single...
3 Reactions
16 Replies
174 Views
Mke wangu anatumia sehemu ya hela ninayoacha nyumbani kwa ajili ya chakula kupeleka kwenye michezo yao ya kuchangishana pesa. Mwisho wa siku, nakuta chakula hakitoshelezi wala hakiridhishi kwa...
9 Reactions
43 Replies
719 Views
Back
Top Bottom