Kwa hiyo wewe ni kapuku kwa asilimia 200.Ukiwa na hela unapata mapenzi ila kama hauna jipende tu mwenyewe
Umbea huoTuhadithie kwanza amekufanyaje
Lazima atupe sababu amelalamika sanaUmbea huo
We elewa haoi kamwe
Kama huna hela, we endelea kutafuta hela mapenzi achia magwijisitaki kupenda niumizwe,sipendi ngono,natafuta hela sitaki mawazo ya kuwazawaza najipenda tu mwenyewe. maana nilizaliwe mwenyewe nanitakufa mwenyewe.siamini kupitia mapenzi naamini kupitia pesa.
Kumbe mapenzi unayataka ila huna pesaUkiwa na hela unapata mapenzi ila kama hauna jipende tu mwenyewe
🤣🤣🤣 Kapigwa na kitu kizitoKumbe mapenzi unayataka ila huna pesa