Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

betting machine

Senior Member
Joined
Aug 12, 2025
Posts
131
Reaction score
204
Habari, ipo hivi kuna demu tangu mwaka jana mwezi wa nane nilikua namfukuzia tukaanza mahusiano japo kwenye tendo hataki maana ameshika dini na ni bikra , mwaka huu kuna kipindi alisema hataki mahusiano kwa sasa au mpaka niongee na wazazi wake ndio atanikubali , baada ya masiku kupita akampa namba jamaa anionye eti anasema ni ndugu yake , ila kuja kugundua ni jamaa alikua na yeye anamfukuzia , , mwaka huu mara tatu nimelala nae usiku kila nikitaka kuitoa bikra nashindwa siku moja nikaona anachati na mwanaume mwingine (ambae ni yule alikua anamfukuzia) nikamuuliza akalia na kuomba msamaha , kesho yake nikalala nae tena ila sikufanikisha , baada ya siku kama tatu nililala nae akakataa nisimguse akasema hanipendi nisimlqzimishe kwenye maisha yake , siku ya jana tumegombana na kuachana japo demu alikua bado bikra ila alisema anaenda usiku kwa yule jamaa kumpa.
Eti wadau kosa langu ni lipi hapo? Demu nilimhudumia kila kitu na mpaka kumtafuta kwenye simu mimi ndio nilikua namtafuta sanaa kuliko hata yeye. Hapa nimekaa roho inaniuma.
 
Habari, ipo hivi kuna demu tangu mwaka jana mwezi wa nane nilikua namfukuzia tukaanza mahusiano japo kwenye tendo hataki maana ameshika dini na ni bikra , mwaka huu kuna kipindi alisema hataki mahusiano kwa sasa au mpaka niongee na wazazi wake ndio atanikubali , baada ya masiku kupita akampa namba jamaa anionye eti anasema ni ndugu yake , ila kuja kugundua ni jamaa alikua na yeye anamfukuzia , , mwaka huu mara tatu nimelala nae usiku kila nikitaka kuitoa bikra nashindwa siku moja nikaona anachati na mwanaume mwingine (ambae ni yule alikua anamfukuzia) nikamuuliza akalia na kuomba msamaha , kesho yake nikalala nae tena ila sikufanikisha , baada ya siku kama tatu nililala nae akakataa nisimguse akasema hanipendi nisimlqzimishe kwenye maisha yake , siku ya jana tumegombana na kuachana japo demu alikua bado bikra ila alisema anaenda usiku kwa yule jamaa kumpa.
Eti wadau kosa langu ni lipi hapo? Demu nilimhudumia kila kitu na mpaka kumtafuta kwenye simu mimi ndio nilikua namtafuta sanaa kuliko hata yeye. Hapa nimekaa roho inaniuma.
ameshakwambia hakupendi usimlazimishe,

unataka nini tena hapo gentleman? huoni kinyaa anapokua kwa mwenzako na kisha tena kwako?

Kosa lako hapo ni kulazimisha mahusiano mahali usipopendeka. Full stop.🐒
 
Huyo ni demu vipi wanaokataliwa na wake zao ninyi si ndo mnajinyonga nyie?
Mwanamke anaweza kukukataa kwa sababu zozote zile anazozijua yeye.

Kitu cha kukupa maswali mengi ni pale utakapo kataliwa na mwanamke anayeitwa mama yako kuwa wewe si mtoto wake hapo sasa tuletee uzi wako tutoe maoni
 
Mwanaume kukataliwa na demu kisha uanze kulalama ni ajabu.

Mwanaume siku zote ni risk taker iwe kwa maumivu ni sawa au kwa furaha yote ni sawa. Unaganga yajayo
Ni kweli na alikua ananiambia hapendi kuona nalalamika alafu nilisoma message zake na za jamaa ni kama demu alimpenda jamaa kuliko jamaa anavyompenda maana jamaa alikua anajifu mara chache
 
Huyo ni demu vipi wanaokataliwa na wake zao ninyi si ndo mnajinyonga nyie?
Mwanamke anaweza kukukataa kwa sababu zozote zile anazozijua yeye.

Kitu cha kukupa maswali mengi ni pale utakapo kataliwa na mwanamke anayeitwa mama yako kuwa wewe si mtoto wake hapo sasa tuletee uzi wako tutoe maoni
Uzi ufungwe hapa
 
Back
Top Bottom